Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Kawa man of the match katka poor form
Ba NIR bado wamejitahid kama uliangalia mechi uliona wao hata kufika golin wamefika sana kuliko wales

Labda hujachek mech bro


That's your opinion bro. Kama kufika golini ndio ushindi basi Croatia nao waendelee na mashindano. Mi nimeangalia mechi na nimemuona Bale kacheza vizuri tu na ile strike force ni ushahidi tosha.
 
Victoire 2.30am EAT later today ni USA na Colombia kutafuta mshindi wa tatu na final match between Chile and Argentina will be tomorrow at 2.30am EAT.
 
That's your opinion bro. Kama kufika golini ndio ushindi basi Croatia nao waendelee na mashindano. Mi nimeangalia mechi na nimemuona Bale kacheza vizuri tu na ile strike force ni ushahidi tosha.
Mkuu siku zote uwa unakuwa una michango rational sana na huwa nakuheshimu kwa hilo

Leo nahesabu kama umepotoka kiaina tuu, na wait maoni yako ya kesho

Kina bale sidhan hata kama on target zaid ya moja wamepiga

Japo matokeo yana onesha wameshnda
 
Reactions: PNC
Wakuu hii timu ya Portugal huwa haikosi kucheza robo fainali.

Robo Fainali.

Thursday- Portugal vs Poland katika uwanja wa Stade Velodrome mjini Marseille.

Friday- Wales vs Hungry/Belgium- Mjini Lille
 
Hapo nakupinga
Panga hapa kikos cha argentina alaf weka na ureno

Alafu jaji
Argentina, aguero anaanzia bench. Nchi gani duniani utamweka aguero bench. Messi anachezea kikosi bora duniani
 
Wakuu, mnawaangalia Germany na uchezaji wao wanawachanganya sana Ukraine.

Hii naona robo fainali -Germany, Wales, Croatia, Poland, Portugal, Spain, France na Italy.

Nilikwishatoa utabiri wangu ukiondoa Croatia sasa nasubiri kama ntashinda betting yangu angalau nusu ya dau.

Lol
 

Mussolin naona list yako kwa timu ulizozipa nafac zaanza kupungua moja moja hahaa, nimeumia sana croatia kutoka.
 
Ni lazima utumie nafasi unazopata golini na Croatia wamecheza saaana lakini mwisho wa siku kuna kitu kinaitwa uzoefu.

Uzoefu wa akina Pepe, Nani na Ronaldo umechangia ushindi wa Portugal na sio kingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…