Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Ni kweli
Wana sema ni timu ya kwanza kufika robo fainali bila kushinda mechi hata moja kwenye regular 90 minutes
 
Ni kweli
Wana sema ni timu ya kwanza kufika robo fainali bila kushinda mechi hata moja kwenye regular 90 minutes


Portugal ndio timu pekee kuingia robo fainali ya mashindano kwa mara sita mfululizo. They set a record already. Na ukiangalia fixture utaona wale vigogo wote wako upande mwingine kwahiyo hawa jamaa usishangae kwa kusuasua lakini wakfika mbali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…