Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Portugal ndio timu pekee kuingia robo fainali ya mashindano kwa mara sita mfululizo. They set a record already. Na ukiangalia fixture utaona wale vigogo wote wako upande mwingine kwahiyo hawa jamaa usishangae kwa kusuasua lakini wakfika mbali.
Hahahaa
Na kweli mkuu kama hvi wana kutana poland

Usishangae semi waka kutana na wales au england
 
Kiteteo chetu kitakuwa tuliathiriwa na mvua ya kwenye game ya mwisho hivyo tulicheza na kichomi [emoji41] [emoji41] .... hakuna siku nitakayo kuwa na furaha kama kesho Argentina akikosa kombe
Hahaha
Argentina wana kila sababu ya kichukua, ila wakishndwa tabu wanayo
 
Portugal ndio timu pekee kuingia robo fainali ya mashindano kwa mara sita mfululizo. They set a record already. Na ukiangalia fixture utaona wale vigogo wote wako upande mwingine kwahiyo hawa jamaa usishangae kwa kusuasua lakini wakfika mbali.
Kumbe tumeweka virekodi vingi hivi [emoji41] ..... teeehe teeehe from best loser to the final.... ngoja nikapakue start from the bottom kabisa
 
Kumbe tumeweka virekodi vingi hivi [emoji41] ..... teeehe teeehe from best loser to the final.... ngoja nikapakue start from the bottom kabisa


Angalia vizuri fixture England, Germany, Italy, Spain, France, Belgium. Yaani vigongo vyote viko upande wa pili. Portugal kukutana na hao labda fainali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…