Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,076
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Messi amekuwa msaada kwetu aisee. PNC 1 analia sijui. Sema kadi zilitawala sana. Halafu hawa Argentina hawajui kupiga penati. Hii mara ya pili
Halafu kalivyo kosa penati kakajidai kana hasira kweli [emoji23] [emoji23] [emoji23] .... katusaidia sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yaan kaamua amalize ubishi yeye mwenyewe
Last year walisema wenzake wame muangusha
Nategemea mwaka huu
Waseme kawa angusha wenzie
Maisha bila unafki hayaendi na walivyokuwa hawana simile pangechafuka humu[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Jf pamekuwa mahali salamaaa na tulivu, maana Missi fan boys wange tusumbua hapa
Leo kutatulia sana humu [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] wale Chile sio Watu wazuri second time wanamfanya messi analia[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Jf pamekuwa mahali salamaaa na tulivu, maana Missi fan boys wange tusumbua hapa
Yeye ndo ameanza halafu amekosa penati ndo captain sasa. Chile wanataka sifa sasa.Tatizo watu hawajui kuwa Messi yupo cursed kwenye international cup hadi kuisha kwa career yake hawezi beba international cup [emoji41] [emoji41]
Siku hizi wengi tu penati zinawashinda
Messi bora uumpe free kick ya 40m lakini si penati [emoji125] [emoji125]
[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81]Halafu kalivyo kosa penati kakajidai kana hasira kweli [emoji23] [emoji23] [emoji23] .... katusaidia sana
Yaaan kazi yoote alo fanya imeonekana hamnaYeye ndo ameanza halafu amekosa penati ndo captain sasa. Chile wanataka sifa sasa.
Kama amekosa hili sidhani kama atakuja kuchukua tena international cup. Mtu chozi hilo
Ndo maana analia aiseeYaaan kazi yoote alo fanya imeonekana hamna
Jana kina maestro wakikuwa wana nikeraNdo maana analia aisee
Wale nao ushabiki mwingi. Tuone Leo watasemaje.Jana kina maestro wakikuwa wana nikera
Eti ana karibia kuwa mchezaj bora wa mda wote
Kwa kutwaa kopa [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81]
Jamaa kacheza sana nashangaa uwa kwenye vilabu hafiki mbaliWale nao ushabiki mwingi. Tuone Leo watasemaje.
Ila Vargas anapiga mpira yule jamaa basi tu
Hata huwa nashangaa sana. Sijui kwaniniJamaa kacheza sana nashangaa uwa kwenye vilabu hafiki mbali
Labda baada ya hapa itakuwa hvoHata huwa nashangaa sana. Sijui kwanini
Nitajaribu kuwasikiliza baadaeLabda baada ya hapa itakuwa hvo
Ila nawalaani Argentina kwa kushindwa kuwa mabingwaNitajaribu kuwasikiliza baadae
Banega otamendi biglia. Huu Ndo mpira aiseeIla nawalaani Argentina kwa kushindwa kuwa mabingwa
Timu ya taofa hainunuliwi, ina kusanywa na kupata mkusanyiko mzuri ni kazi kweli sasa
Timu ina aguero, messi na higuain wana kosaje ubingwa hata wa centenario!!!
AaaahBanega otamendi biglia. Huu Ndo mpira aisee
Hahahah huruma tena.Aaaah
Kwa kweli nime wadis wanapaswa hata kuto onewa huruma
Higuani leo kampa bravo umaarufu
Unakosaje goli kivile
[emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahah huruma tena.
Higuani ndo mfungaji bora kule serie A