Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,076
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Messi amekuwa msaada kwetu aisee. PNC 1 analia sijui. Sema kadi zilitawala sana. Halafu hawa Argentina hawajui kupiga penati. Hii mara ya pili
Tatizo watu hawajui kuwa Messi yupo cursed kwenye international cup hadi kuisha kwa career yake hawezi beba international cup [emoji41] [emoji41]
Siku hizi wengi tu penati zinawashinda
Messi bora uumpe free kick ya 40m lakini si penati [emoji125] [emoji125]