Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Hapa tutakuwa tunajadili kuanzia kuelekea, kufanyika na kuhitimishwa kwa mashindano maarufu ya soka duniani maarufu kama EURO

og-default.jpg




euro-daw.jpg





Euro_2016__3523788b.jpg










euro%20wallpaper.ashx
 
Sipati picha pale kati timu ya Croatia itakuwaje!!! Hapa Modric pale Rakitic!!! Halafu pale mbele kasimama Mandzukic.....
 
Utamu wa euro huuuu ukiukosa subiria kusimuliwa
 
Kwa wenye king'amuzi cha Azam watapata uhondo kupitia ZBC 2 na KTN
 
Sijajua haswa ila ninachojua ni kwamba wataonyesha michuano hiyo.
 
Back
Top Bottom