Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

i remember world cup ya 1998 kule #France game ya mwsho #Romania vs #Tunisia hatua ya makundi Wachezaji wote wa Romani Waliweka #Nywele dawa(bleach boy) wanavituko sana hawa jamaa nackia washachapwa kamoja
 
Gary to Kante

227ed4514e824e9cb72f120e6f9b4b79.jpg
 
Romania wamefanya mabadiliko na wamemtoa mshambuliaji Andone na nafasi yake imechukuliwa na David Alibec
 
Penaaaalt kwa Romania

Na mwamuzi Victor Kassai anaetoka Hungary hakupoteza wakati

Stancuuu anafunga! Goooooooo

1-1
 
Pamoja kuwa na wachezaji wengi wazuri imekuwaje Evra na Sagna wako kikosi cha kwanza cha Ufaransa ?
 
Huyu evra na girouuud kuna mmoja leo atalambwa red hapa
 
Ufaransa Hawa hawawezi kuchukua hili kombe japo linachezwa nyumbani kwao.
 
Back
Top Bottom