Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

England na Ureno ndugu moja, mama mmoja, baba mmoja ila tumbo tofauti.
Yani huyo mmoja kazidiwa vyombo vya habari tu aiseee...jana nimepoteza muda wangu bure kutazama wajukuu wa vasco da gama...hawana tofauti na marehemu babu yao vasco da gama yeye kiguru na njia tu
 
#Sisimizi anaua #Tembo ivi hawa #slovakia,Czech republic c watoto wa #mrusi hawaa??
 
Polisi Lille baada ya game hii wana kazi kubwa!Russia's hooligans wataleta sana vurugu na unywaji pombe uliopitiliza kwa matokeo haya!Slovakia walistahili kushinda
 
Daah nazikosa sana hizi game hadi natamani kama zingekuwa zinachezwa saa nane au kumi usiku
 
Majina mengine bwana kuna mchezaji wa Swiss anaitwa Embolo
 
nimewamiss jamaa zangu #Wagiriki sana #EURO 2004 mpaka anabeba kombe kila mtu anayekutana naye anakula #mojamoja tu...#kama ureno hakubeba #ndoo zama zile #figo #deco #nuno gomez sidhani kama atabeba ndoo tena...ngoja tumwangalie #payet akifanya yake sasa
 
nimewamiss jamaa zangu #Wagiriki sana #EURO 2004 mpaka anabeba kombe kila mtu anayekutana naye anakula #mojamoja tu...#kama ureno hakubeba #ndoo zama zile #figo #deco #nuno gomez sidhani kama atabeba ndoo tena...ngoja tumwangalie #payet akifanya yake sasa
Yaani acha tu,umenikumbusha Deco,yaani jana kina Ureno walichemka,mpira wa leo mkali ila tusubiri dakika 90
 
i wish Benzema angekuwepo,maana Payet analeta mapande hayo balaa,Giround kazidiwa,mpira umechangamka leo
 
#griezman #payet wanaamua matokeo dakika za lala salama #albania wamepambana ila uzoefu ndo kila kitu wanatimu nzuri nawatabiria makubwa zaidi hapo mbeleni
 
Back
Top Bottom