Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Only CR7 can make it .......

Kama Euro iliyopita vile .... 2 goals in a last game

cc: Barca fan @pnc1

47d34cb7b530dcdefc93f479fb2ed128.jpg


8c7b26c7bc6e489f6f1badb9319ab86f.jpg
 
Dah nilijua Iceland kadroo kumbe Ronaldo na group yake outttt

bado waingereza,
Ureno kapita ana goal difference nzuri kuliko turkey n albania wengine wenye point 3 waliopita n n.ireland n slovakia
 
Iceland[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Cristiano Ronaldo ameweka rekodi 3 leo.
1. Amekuwa mchezaji aliyecheza mechi nyingi zaidi katika Euro, mechi 17.
2. Anakuwa mchezaji wa kwanza kufunga katika fainali 4 za Euro, 2004, 2008, 2012, 2016.
3. Baada ya magoli mawili ya leo, ametimiza magoli 8 katika Euro, ni Michel Platini tu ndio amefunga zaidi yake - magoli 9.
 
Back
Top Bottom