Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,076
The capt.
All the way up
All the way up
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lets see wanaweza wakajipanga zaidi kwenye semisNi kweli mkuu hizo sehemu kwa upande wa ureno ni utata na shida
The capt.
All the way up
![]()
Hongera sana dada daah upo serious mpaka rahaMimi ke bwana
Soka kama hujui hujui,hakuna bahati kwenye soka.Unamtoa Carrasco unamuingiza Fellaini then unasingizia bahati ?
Hawa underpopi wamekuwa khatari sana ila wanastahili wameonyesha uwezo na sio bahatihahahahahhahaha the year of the underdogs... Leicester, Wales, Iceland....
Kwa hiyo ubelgiji mpira hawajui? Basi fifa waongo na rank zao za soka kumbe tanzania nafas tuliyopo sio yetu
Captain, Leader, Legend!!The capt.
All the way up
![]()
Ni rahis ccm kuiachia zanzibar kuliko wales kuwatoa urenoCaptain, Leader, Legend!!
Hizo rank ni upuuzi tu hata England wapo top ten,assesment kubwa inafanywa kwenye mechi za kirafiki ambazo hazina umuhimu.So far Chile na Argentina ni timu bora kuliko hao vibonde Belgium
hahahah...Ni rahis ccm kuiachia zanzibar kuliko wales kuwatoa ureno
Ballon D'ior haingalii sana hilo..Wanaangalia individual perfomance. Messi na Ronaldo individual perfomance zao ziko juu kuliko Bale. Anaweza akaingia top 3.Ghafla Wales kabeba Euro 2016.
Je Fifa watampa Gareth Bale Ballon D'ior?
Maana atakuwa ameipa taji timu ya taifa na klabu pia kaipa taji la ligi ya mabingwa.
Tusubiri kuona maajabu mengine semi finalPortugal anatinga fainali.
Hizo rank ni upuuzi tu hata England wapo top ten,assesment kubwa inafanywa kwenye mechi za kirafiki ambazo hazina umuhimu.So far Chile na Argentina ni timu bora kuliko hao vibonde Belgium
Portugal anatinga fainali.
Ni rahis ccm kuiachia zanzibar kuliko wales kuwatoa ureno