Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Mkuu Mfumo wa 3-5-2 unakuchanganya na pengine huujui vizuri.

Mabeki watatu wa kati ambao ni Bonucci, Barzagli na Chiellini.

Wingback ambao ni Florenzi na De Sciglio.

Viungo watatu ambao ni Parolo, Sturaro na Giacherinni.

Washambuliaji wawili ambao ni Eder na Pelle.

Hata, wala sichanganyi na nipo sawia kabisa nafuatilia.

Italy walianza game na mtindo wa 4-3-2-1 pelle akiwa mbele peke yake, halafu wakabadilisha na kuwa 3-5-2.

Hivyo uko sawa ni Florence na de Sciglio ndio wing backs.

Mimi nilikuwa namaanisha mabeki wa pembeni ambao ni Bonucci na Bazagli ambao walikuwa wakizuiwa na Germany kupanda mbele hapo mwanzo na kubadilisha mtindo kuwa 3-5-2.

Upo sawa mkuu.
 
hii inankumbusha mechi ya pili ya UEFA robo fainal kati ya juve na bayern
 
dakika 3 za nyongeza Italy na Italian job on the way.
 
Hata, wala sichanganyi na nipo sawia kabisa nafuatilia.

Italy walianza game na mtindo wa 4-3-2-1 pelle akiwa mbele peke yake, halafu wakabadilisha na kuwa 3-5-2.

Hivyo uko sawa ni Florence na de Sciglio ndio wing backs.

Mimi nilikuwa namaanisha mabeki wa pembeni ambao ni Bonucci na Bazagli ambao walikuwa wakizuiwa na Germany kupanda mbele hapo mwanzo na kubadilisha mtindo kuwa 3-5-2.

Upo sawa mkuu.
poa mkuu...lengo lilikuwa ni kuwekana sawa...twende extra time sasa...
 
mfumo wa beki ya joackim low hauna tofaut na wa van gaal, yaani boateng anaachwa nyuma peke yake hii ni hatar kwa foward kama bale au ronaldo
 
Sasa tunaelekea kile kipindi cha wanaume na involuntary actions zao matuta yakiwa yanapigwa
 
wakiruhusu kufka matuta, ujerumani lake begi.
 
Ila jamani hii sheria ya sasa ya kama una kadi 2 za njano hata kama michezo haijafuatana inaboa sana.
 
Back
Top Bottom