Kuelekea hatua Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba SC dhidi ya Al Ahly SC 'Hatushindwi'

Kuelekea hatua Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba SC dhidi ya Al Ahly SC 'Hatushindwi'

Kuelekea hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba SC ambao ni wawakilishi wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) Jumanne ya Februari 12 watakuwa kwenye uwanja wa Taifa kupigana dhidi ya Al Ahly kutoka nchini Misri.

•••Mwana Kulitaka Mwana Kulipewa

Ni mechi kali ambayo kwa Simba SC itakuwa ni ya kulipa kisasi kwa wachenzaji, mashabiki na wanachama pamoja na wadau wa soka kufuatia matokeo ya kipigo cha mabao 5 katika mjini Alexandria nchini Misri.

•••Lakini Mnyama Mkali Simba SC Anasema;

"hatushindwi kwani tunaweza na tumejiandaa kuhakikisha kuwa alama 3 za nyumbani zinabaki hapa hapa nyumbani".

Yamesemwa mengi sana hapa Tanzania, kutoka kila pande hasa upande wa pili ambao wanawaogopa sana waarabu, lakini Simba SC itaishangaza dunia kwenye uwanja wa Taifa.

Kilichowakuta Zamalek ya Misri dhidi ya Gormahia ya Kenya kwenye Kombe la Shirikisho, ndicho kitawakuta Mafarao wa Al Ahly japo wengi hawaamini lakini ndo hali halisi ilivyo.

•••Haya twendeni WANALUNYASI Taifa hatushindwi




View attachment 1019785

Sent using Jamii Forums mobile app
Na mkuu,yametimia kweli. Kwa hakika,Simba kwa Waarab ni vidume.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mkuu CHAZA unadhani nilivyokuwa nimeleta huu UZI nilikuwa sijui nini nafanya? Niliamini ndo maana nilieta Flashback 1985 ili kuwakumbusha hawa Mashabiki wa Kizazi kipya...SimbaNguvuMoja

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi leo duuu,watu wa upande wa pili wamevimba pua kwa hasira. Hii husda itatufikisha wapi jamani. Wengi wameondoka Taifa wakiwa na huzuni kubwa utafikiri wao ni Al Ahly

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe Nyang'au una bahati sana nilikuwa na harakati uwanjani ndo maana nilikupuuzia kwa huu ujinga wako ulioleta.

Lakini nimegundua bado ni Kinda la Chura katika mambo ya soka, bado hujui chochote.

Kwa taarifa kila ninachokiandika nakuwa na uhakika asilimia 99%

Kwahivyo kuanzia leo anza kusoma historia ya mpira kabla hujaja kupinga huku JF

Na hili la Simba kuifunga Al Ahly 2-1 hata baadhi ya mashabiki wa Yanga wanafahamu au mtafute Mwalimu Alex Kashasha ambaye alikuwepo CCM Kirumba wakati huo, akusaidie ili uondoe huo utandu kichwani kwako

[emoji196]Chura mtoto wewe..!
Simba hawajawahi kukutana na AL AHLY HAPO KABLA... GAME YAO YA KWANZA NI HII WALIYOFUNGWA 5..
USIPENDE UPUUZI WA FB KULETA HAPA PAKA WA MGANGA WW..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unajibishana na viruka njia?
Mwaka 1985 katika Uwanja wa CCM Kirumba Simba aliifunga Al Ahly goli 2-1.
Huyu kiruka njia mvimba macho alikuwa hajazaliwa au alikuwa bado yupo bush hajaanza ushabiki wake maandazi.
Magoli ya Simba yalifungwa na Zamoyoni Mogella Golden Boy na Mtemi Ramadhani.
 
Back
Top Bottom