Kuelekea hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, AS Vita Club dhidi ya Simba SC, Injinia Ngapi?

Mkuu, injinia anasemaje?
 
kwani as vita wanna point ngapi.na sisi tuna point ngapi?
hyo ni Hatua ya makundi.
USICHANGANYIKIWE

Sent using Jamii Forums mobile app
As vita anà point 3 na magoli 5 tena wapo nafasi ya pili na wana magolì 2 ya kufungwa. Nyie underdog mna point 3 na magoli 3 pia mna maģoli 5 ya kufungwa kwahyo goli difference 2. Mechi ijayo mnaenda kūnyonyolewa tena ugenini (Misri)
 
Hahaaa. Nitoke nini sasa. 💃💃💃💃

Ila Pole eee.
Amakweli jana ndio nimeamini uchawi kwenye soka upo! Yaani Simba utafikiri walifungwa magunia ya mchanga mgongoni au miguuni! Walikua wazito utafikiri hawana mazoezi mwaka mzima. Wakongomani vigagula sana, watakuwa waliroga kupita kiasi, hasa kiungo wetu Chama ndio walimtupia mauchawi yao ya kuuua mtu kabisa, shwaini zao
 
Jana as vita walikuwa wamepiga ile kitu vumbi la congo, half time washamaliza pact moja ya condom

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana. Ndio mpira huo na nyie warogeni wakija kwa Mchina.
 
Akikujibu mwambie namsalimia. 😃😃

Ghazwat
Shadeeya naona machungu ya kupapaswa na Stand United kama yaliopoozwa vile na matokea ya Kinshasa eeh? Maana ukizingatia na rangi ya jezi za wale jamaa na sura za wachezaji wake wengine kama kina Makambo basi weye hapo kiroho kwatu, wala huna machungu ya kuchafua rekodi yako kwenye ligi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…