Kuelekea hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, AS Vita Club dhidi ya Simba SC, Injinia Ngapi?

Machungu yatoke wapi sasa. πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Pole sana. Ndio mpira huo na nyie warogeni wakija kwa Mchina.
Sasa ile pasi aliyoipoteza Chama na kuzaa goli la kwanza wewe unaona makosa kama yale anaweza kuyafanya mchezaji wa kaliba ya Chota Chama? Ila siku yangu imeharibika kabisa, goli tano nyingi sana

Nakuhakikisha wakija kwa Mchina watakaa japo hata kamoja tu
 
Usisahau kocha msaidizi no Raul shungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…