njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
simba na aly ahly mechi ya mwisho tarehe 9 april cairoHauko sahihi pia, baada ya El mereikh Simba anakwenda Cairo halafu anamalizia Dar na AS Vita.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
simba na aly ahly mechi ya mwisho tarehe 9 april cairoHauko sahihi pia, baada ya El mereikh Simba anakwenda Cairo halafu anamalizia Dar na AS Vita.
Hapana a draw away its an advantage. Unafikiri Vita hawajafurahia draw jana pia ugenini Cairo?
Robo fainali ni timu 2 tu kila kundiKanuni za CAF ili uweze kutinga Robo final unahitaji point 9tu. Hii iliwekwa kima hesabu maana hesabu haidanganyi. Ndio maana msimu uliopita tulikungutwa mechi za ugenini na sisi tukaja tuka Fanya vizuri kwenye Mechi zetu 3 za Nyumbani tulizitumia vizuri. Tukapata point 9 na kwenda Robo final.
Kwa sasa simba inahitaji point 3tu kuweza kwenda Robo final habari ndiyo hiyo. Na point 3 zenyewe tutazipata kwa Almereki.
As vita labda kama wanapeta mcheleHili kundi mpaka sasa hivi kila timu inanafasi mpaka huyo mnaemsema kibonde ambaye kashatimua makocha kisa simba...
Kanuni za CAF ili uweze kutinga Robo final unahitaji point 9tu. Hii iliwekwa kima hesabu maana hesabu haidanganyi. Ndio maana msimu uliopita tulikungutwa mechi za ugenini na sisi tukaja tuka Fanya vizuri kwenye Mechi zetu 3 za Nyumbani tulizitumia vizuri. Tukapata point 9 na kwenda Robo final.
Kwa sasa simba inahitaji point 3tu kuweza kwenda Robo final habari ndiyo hiyo. Na point 3 zenyewe tutazipata kwa Almereki.
Mkuu ulichoandika nimesoma mstari mmoja tu nikaacha. Kwamba kanuni za CAF ukifikisha point 9 unaqualify? Kwamba kila timu ikishinda mechi za nyumbani na kupoteza ugenini, zote nne zinaqualify?Kanuni za CAF ili uweze kutinga Robo final unahitaji point 9tu. Hii iliwekwa kima hesabu maana hesabu haidanganyi. Ndio maana msimu uliopita tulikungutwa mechi za ugenini na sisi tukaja tuka Fanya vizuri kwenye Mechi zetu 3 za Nyumbani tulizitumia vizuri. Tukapata point 9 na kwenda Robo final.
Kwa sasa simba inahitaji point 3tu kuweza kwenda Robo final habari ndiyo hiyo. Na point 3 zenyewe tutazipata kwa Almereki.
Hivi hao washambuliaji wenye vurugu mnaowasemaga ni wa timu gani? Maana kila simba ikicheza mnasema ingekutana na washambuliaji wenye nguvu ingefungwa [emoji23][emoji23]Hili kundi mpaka sasa hivi kila timu inanafasi mpaka huyo mnaemsema kibonde ambaye kashatimua makocha kisa simba...
Hujui football ww. Kila sehem umetengeneza matokeo kwa utashi na mapenzi yako binafsi. SUBIRI FOOTBALL ICHEZWEKuna watu wanasema endapo Simba itapata alama tatu dhidi ya El marrekh, Simba itakuwa imefikiaha point kumi na kuwa imefuzu hatua ya robo fainali. Sijaelewa hesabu gani zimetumika kuifanya Simba ifuzu kwasababu mpaka sasa Al Ahly na As Vita wote wana point 4.
Mechi inayofuata As Vita wapo nyumbani dhidi ya Al Ahly na endapo As Vita wakishinda watakuwa wamefikisha point 7 huku Simba ikiwa na point 10.
Mechi inayofuata ni Al Ahly dhidi ya Simba. Hapa Simba wakiwa ugenini, hii mechi Simba wanatakiwa watafute alama moja ili kufuzu kwasababu Al Ahly ikishinda, wanakuwa na alama 7 na mechi ya mwisho wanamaliza dhidi ya kibonde Al Merreikh hivyo wakisha watakuwa na alama 10. Wakati Simba inacheza na Al Ahly, As Vita wao watakuwa nyumbani dhidi ya Al Merreikh hivyo akishinda atakuwa na point 10
Endapo Simba watashindwa kupata alama tatu ama moja Misri, na huku As Vita wakishinda dhidi ya Al Ahly na Al Merreikh, ina maana mechi ya mwisho inachezwa Simba dhidi ya As Vita kwa Mkapa huku As Vita akiwa na point 10, Simba ana point 10 na Al Ahly ana point 7 na kuifanya kundi liwe gumu kwasababu Al Ahly atacheza dhidi ya Al Merreikh hivyo akishinda atakuwa na point 10 pia. Hivyo itaifanya mechi ya mwisho iwe muhimu sana kwa Simba kutoruhusu kufungwa dhidi ya As Vita
Aongoze kundi mda gan?. Kwan sasa haipo ktk hilo kundi? Nan anaongoza? Kafikaje hapo UNAWAZA KITOTOHao watatu bado wanachance ya kupita hatua hii, naona kama As vita ndo ataongoza kundi.
Subiri muda si habaHivi hao washambuliaji wenye vurugu mnaowasemaga ni wa timu gani? Maana kila simba ikicheza mnasema ingekutana na washambuliaji wenye nguvu ingefungwa [emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app