Kuelekea hatua ya robo fainali Club bingwa Africa

Ikipewa ushindi wa bure inakuaj na alama 10 mkuu🤔 si tulikubaliana wote tuisome namba vizuri
Akipewa ushind wa bure anakua na alama 9 sawa na kushinda mechi zote 3 za hatua ya kwanza ya makundi.

Na kama akipewa huo ushindi atahitaji point 3 zaid au droo 2 ili kufuzu kama kinara wa kundi huku akiiombea al ahly na vita wadroo mechi yao inayofuata.

Kwa ufupi Simba anatakiwa ahakikishe hizi game zake 2 za home anatakiwa ashinde zote au ashinde moja alafu moja adroo kwa sababu ile game yake ya mwisho na al ahly itakua kiama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…