Kuelekea Kariakoo Derby: Simba SC ndiyo timu yenye kiwango bora hadi hivi sasa

Kuelekea Kariakoo Derby: Simba SC ndiyo timu yenye kiwango bora hadi hivi sasa

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Takwimu hazidanganyi, kwa sasa Simba wapo vizuri sana. Mechi 5 walizocheza hadi hivi sasa;
~ Wamefunga magoli 11
~ Wameruhusu magoli 2

Kimataifa wamecheza za jumla ya mechi 4;
~ Wanefunga magoli 8
~ Wameruhusu goli 1

Wametinga hatua ya makundi CAF Champions League, vinara Ligi Kuu Tanzania bara.



 
Takwimu hazidanganyi kwa sasa Simba wapo vizuri sana.

Mechi walizocheza hadi hivi sasa 5

Wamefunga magoli 11

Wameruhusu magoli 2

Kimataifa. wamecheza za jumla ya mechi 4

Wanefunga magoli 8

Wameruhusu goli 1

Wametinga hatua ya makundi caf champions league.

Vinara ligi kuu Tz bara.



View attachment 2392612
Kimataifa. wamecheza za jumla ya mechi 4

Wanefunga magoli 8

Wameruhusu goli 1

Wametinga hatua ya makundi caf champions league.

Vinara ligi kuu Tz bara.
giphy.gif
 
Takwimu hazidanganyi kwa sasa Simba wapo vizuri sana.

Mechi walizocheza hadi hivi sasa 5

Wamefunga magoli 11

Wameruhusu magoli 2

Kimataifa. wamecheza za jumla ya mechi 4

Wanefunga magoli 8

Wameruhusu goli 1

Wametinga hatua ya makundi caf champions league.

Vinara ligi kuu Tz bara.



View attachment 2392612
Kimataifa. wamecheza za jumla ya mechi 4

Wanefunga magoli 8

Wameruhusu goli 1

Wametinga hatua ya makundi caf champions league.

Vinara ligi kuu Tz bara.
giphy.gif
 
Takwimu hazidanganyi kwa sasa Simba wapo vizuri sana.

Mechi walizocheza hadi hivi sasa 5

Wamefunga magoli 11

Wameruhusu magoli 2

Kimataifa. wamecheza za jumla ya mechi 4

Wanefunga magoli 8

Wameruhusu goli 1

Wametinga hatua ya makundi caf champions league.

Vinara ligi kuu Tz bara.



View attachment 2392612
Kimataifa. wamecheza za jumla ya mechi 4

Wanefunga magoli 8

Wameruhusu goli 1

Wametinga hatua ya makundi caf champions league.

Vinara ligi kuu Tz bara.
giphy.gif
 
Hiii Mechi ya tarehe 23 Yanga anakufa mapema sana. Mgunda amepanga kulipa kisasi cha ile Fainali ya Azam Confederation.

Wachezaji wamepanga kulipa kisasi cha yale makosa ya Qattara akimpa ujiho mtikisa manyonyo.
Viongozi wamepania.

Wazeee wamesema sasa mwisho.

Mashabiki wana Mzuka.

Benchi la Ufundi wanaMorali ya kazi.

YANGA LAZIMA WAKAEEE MAPEEEEMA
 
Simba ana miaka mingi hajamfunga Yanga kwenye ligi kuu, kinachokuja kuboa zaidi ni katika nyakati zote.

Nyakati zote kwa maana ya kuwa, kile kipindi ambacho Yanga ilikuwa mbovu inatembeza bakuli bado tulishindwa kupata matokeo kwa Yanga.

Na hiki kipindi ambacho Yanga imewekeza ndio imekuwa mtihani kabisa ushindi tunaopata imekuwa ni sare.

Nilichokuja kubaini, nimegundua Yanga ana mbinu nyingi za kumfunga Simba na ndio maana hata katika nyakati alizokuwa mbovu bado alituadhibu.

Lakini

Misimu miwili Yanga kacheza mechi za kimataifa 9

Yanga Vs Zesco 1-2
Yanga Vs Rivers United 0-1
Rivers United Vs Yanga 2-0
Yanga Vs Somalia 1-1
Yanga Vs Vipers 0-2
Zalan Vs Yanga 0-4
Yanga Vs Zalan 5-0
Yanga Vs Al Hilal 1-1
Al Hilal Vs Yanga 1-0

Katika hizo mechi 9 Yanga ikatoa sare mechi 2, kashinda mechi 2 afu kafungwa 5

Hiyo ina maanisha Big match kwa perception ya uongozi wa Yanga ni Derby

Lakini round hii wanaenda kushangazwa na kile wanachokuja kukutana nacho
 
Hiii Mechi ya tarehe 23 Yanga anakufa mapema sana. Mgunda amepanga kulipa kisasi cha ile Fainali ya Azam Confederation.
Wachezaji wamepanga kulipa kisasi cha yale makosa ya Qattara akimpa ujiho mtikisa manyonyo...
Hata sisi huku kilingeni hatuko nyuma kwenye hilo


giphy.gif
 
Takwimu hazidanganyi kwa sasa Simba wapo vizuri sana.

Mechi walizocheza hadi hivi sasa...
unachekesha, kwanza angalia hiyo simba kamwacha yanga kwa points ngapi kwenye msimamo,arafu utajua ulichoandika.
 
Unaonekana kuujua mpira japo kidogo ila hapo sentensi ya mwisho umeharibu kabisa.
 
Uto kimataifa

Wamecheza mechi 4
Wamefunga goli 10
Wameruhusu 2

Uto ndo hatari zaidi
kwenye izo goli 10 za Uto ni goli mbili tu ndio kazipata kwenye timu ngumu.zilizobaki kazipa hapahapa kwa Zolan wabeba mizigo wa sokoni South Sudan.
 
Huyo mechi hamtaamin simba atakufa 2 Bila
Washabili wa mkia wataanza kulalamika na huku sisi tukishangilia
 
Najisikia raha sana aisee nikiona nyuzi za Simba
 
Back
Top Bottom