Kuelekea Katiba Mpya, ukweli anaougopa CCM kuliko ukoma

Kuelekea Katiba Mpya, ukweli anaougopa CCM kuliko ukoma

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Inafahamika kuwa katiba mpya ndiyo ulio mwisho wa CCM kuwa madarakani.

Kwenye katiba mpya CCM ni wepesi kama KANU Kenya au UNIP Zambia. Hawatakaa waikubali hali hiyo.

Ni hivyo hivyo kwa ZANU PF Zimbabwe, RPF Rwanda au NRM Uganda. Bila usawa na haki hawana madaraka.

Kwa sababu hiyo safari ya kupigania katiba mpya inabidi kuwa ni sawa na vita kama ilivyo kwa Russia na Ukraine. Hapa overt na covert operations haziwezi kuepukika.

Harakati zote haziwezi kuwa mezani kwa kila mtu (wakiwamo ma CCM) kuzijua.

Lissu na au Mbowe wapewe nafasi ya ku engage na Zitto behind the scene wataleta mrejesho. Kwanini kama inaweza kuchukua mwaka mmoja kuipata katiba mpya kirahisi, tusubiri miwili au hata zaidi?

Habari hii kwa ma CCM ni mbaya mno. Hii kwao ni kama ukoma. Wanajua Mukandara na kamati yake wakibakia wenyewe, katiba mpya itakuwa imepatikana sasa.

Wanapopambana chini kwa chini kutugawa tunaweza pia kupambana nao chini kwa chini kuwashinda.

Leo NATO anapigana chini kwa chini Ukraine bila kutamka wazi kuwa yupo huko vitani.

Hiyo ndiyo akili ya vita ambayo wasingependa tuifanyie kazi.
 
ODM Kenya walifanikiwa kupata katiba waliyoiunga mkono Kenya lakini hawajawahi kuingia Ikulu na kila uchaguzi walioshindwa wamelia wameibiwa.

Usiote ndoto mbaya hivi mchana utazeeka haraka!
 
Magufuli alisema nikupe mshahara na gari umtangaze mpinzani sasa huyu mtu alitaka simu moja tuchinjane mungu akaingilia kati
 
Ccm haitaki katiba mpya aliyotufanyia magufuli yanatupa sababu 1000000000 za kudai katiba mpya

CCM hawawezi kukubali katiba mpya. Kwao hiyo ni suicidal. Tunayo njia rahisi ya kupata katiba mpya kupitia umoja wetu.

Kwamba Mandela ali engage na kina Buthelezi?

Hatuwezi kuwaamini Mbowe au Lissu ku engage na Zitto tukapata katiba hii mwaka huu?

Mbona yote yako mikononi mwetu?
 
Upinzani wa Tanzania hata ukiwapa Tume ya uchaguzi waiongoze wao bado CCM inashinda chaguzi
 
ODM Kenya walifanikiwa kupata katiba waliyoiunga mkono Kenya lakini hawajawahi kuingia Ikulu na kila uchaguzi walioshindwa wamelia wameibiwa. Usiote ndoto mbaya hivi mchana utazeeka haraka!

Tusiangalie katiba mpya kwa ajili ya kuingia ikulu tu. ODM na Wakenya kwa ujumla wakiwa na katiba mpya Kenya hawako pazuri leo kuliko zama za KANU?

KANU wenyewe na katiba mpya wako wapi leo?
 
CCM hawawezi kukubali katiba mpya. Kwao hiyo ni suicidal. Tunayo njia rahisi ya kupata katiba mpya kupitia umoja wetu.

Kwamba Mandela ali engage na kina Buthelezi?

Hatuwezi kuwaamini Mbowe au Lissu ku engage na Zitto tukapata katiba hii mwaka huu?

Mbona yote yako mikononi mwetu?
Acheni ndoto za alinacha. Kwa upinzani upi huo CCM iogope? Katiba mpya tutaipata na tutaendelea kuwanyoosha
 
Inafahamika kuwa katiba mpya ndiyo ulio mwisho wa CCM kuwa madarakani.

Kwenye katiba mpya CCM ni wepesi kama KANU Kenya au UNIP Zambia. Hawatakaa waikubali hali hiyo.

Ni hivyo hivyo kwa ZANU PF Zimbabwe, RPF Rwanda au NRM Uganda. Bila usawa na haki hawana madaraka.

Kwa sababu hiyo safari ya kupigania katiba mpya inabidi kuwa ni sawa na vita kama ilivyo kwa Russia na Ukraine. Hapa overt na covert operations haziwezi kuepukika.

Harakati zote haziwezi kuwa mezani kwa kila mtu (wakiwamo ma CCM) kuzijua.

Lissu na au Mbowe wapewe nafasi ya ku engage na Zitto behind the scene wataleta mrejesho. Kwanini kama inaweza kuchukua mwaka mmoja kuipata katiba mpya kirahisi, tusubiri miwili au hata zaidi?

Habari hii kwa ma CCM ni mbaya mno. Hii kwao ni kama ukoma. Wanajua Mukandara na kamati yake wakibakia wenyewe, katiba mpya itakuwa imepatikana sasa.

Wanapopambana chini kwa chini kutugawanya tunaweza pia kupambana nao chini kwa chini kuwashinda.

Leo NATO anapigana chini kwa chini Ukraine bila kutamka wazi kuwa yupo huko vitani. Hiyo ndiyo akili ya vita wasingependa tuifanyie kazi.
Katiba mpya ni mwiba mkali kwa wahuni
 
CCM wakisikia neno 'katiba mpya'😁😁😁
 
Elimu nzuri ya katiba mpya👇👏👏👏
Wenge la katiba mpya👇🐒🐒🐒
 
Katiba ya 1977 ni yao kwa niaba ya nchi. Lengo kudumu madarakani. Bila hiyo ni wepesi kuliko unyoya.
Hawana lolote sasa,wanaficha vichwa kwenye udongo-Mara maendeleo,maji,barabara,afya,chakula mezani badala ya katiba.Hawafahamu kuwa Katiba Mpya ndiyo Agano la namna tutakavyojiongoza kama nchi ili tujipangie maendeleo yetu na jinsi ya kuyafikia.
 
Hawana lolote sasa,wanaficha vichwa kwenye udongo-Mara maendeleo,maji,barabara,afya,chakula mezani badala ya katiba.Hawafahamu kuwa Katiba Mpya ndiyo Agano la namna tutakavyojiongoza kama nchi ili tujipangie maendeleo yetu na jinsi ya kuyafikia.

Wanachotaka ni kimoja tu - kutawala
 
Back
Top Bottom