Kuelekea Katiba Mpya, ukweli anaougopa CCM kuliko ukoma

Kuelekea Katiba Mpya, ukweli anaougopa CCM kuliko ukoma

Wanachotaka ni kimoja tu - kutawala
Kutawala kwa kujinufaisha wao na wapendwa wao kwa kutumia raslimali za umma.CCM hawajawahi kuwa kwa ajili ya wananchi na nchi yao,wanachokilinda kuliko vyote ni Status quo ya chama chao.
CCM is always afraid of changing the National Constitution.Fearing unknown.
Sisi wananchi Wa Tanzania tunataka kuandika Katiba(Agano) mpya ya jinsi bora za kujitawala tupendavyo bila kupangiwa na genge au chama chochote.
 
Kutawala kwa kujinufaisha wao na wapendwa wao kwa kutumia raslimali za umma.CCM hawajawahi kuwa kwa ajili ya wananchi na nchi yao,wanachokilinda kuliko vyote ni Status quo ya chama chao.
CCM is always afraid of changing the National Constitution.Fearing unknown.
Sisi wananchi Wa Tanzania tunataka kuandika Katiba(Agano) mpya ya jinsi bora za kujitawala tupendavyo bila kupangiwa na genge au chama chochote.

Hawa ni wa kukabili katika umoja wetu:

Moto wa Katiba mpya Unapagawisha

Mbona wanapigika asubuhi asubuhi?
 
Back
Top Bottom