Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mbona ametuma wanajeshi 4,000Hayakuwa mazungumzo bali kufokewa kama mtoto mdogo, kwenye kuambatana na kupewa maelekezo:
View attachment 3059955
Majibu ya Natenyahu: "nimekosa mimi. Nimekosa sana." Yobbo style.
Transcript nzima kama ilivyo hapo post #2.
Si ndiyo hicho kifua cha mwisho cha mzee baba ndugu?Sasa mbona ametuma wanajeshi 4,000
Nani anaelekea kupewa kipigo cha mbwa koko??
Habari zako zote ni kuegemea upande mmoja.Si ndiyo hicho kifua cha mwisho cha mzee baba ndugu?
Habari zako zote ni kuegemea upande mmoja.
Tulia uone aibu tena
Biden alivyochoka vile akifoka si anaanguka kwa kuishiwa nguvu itabidi afoke kwa kutamka neno moja moja kila baada ya sekunde 30
Ila jamii forum raha Sana.Biden alivyochoka vile akifoka si anaanguka kwa kuishiwa nguvu itabidi afoke kwa kutamka neno moja moja kila baada ya sekunde 30
Netanyahu hata akiskia kijiko kimedondoka anajitonesha kile kidonda cha operation ya tezi dume yani hapo wamekutanaWewe unayetamka maneno 100 kwa sekunde, mbona Natenyahu hajakuona mali kitu akutake japo consultancy?
Vita si kula ubwabwa mkuu. Hata hiyo USA, juzi tuliona. Nani alitegemea raisi mstaafu angefanyiwa alichofanyiwa? Na ni kweli unadhani alikoswa? Au tu lilikuwa fundisho,muone kwamba hakuna lisilowezekana! Sniper,akose,kwenye mita 150(inavosemekana)toka umbali wa tageti ? Hivi,huo ujasiri,unaufikilia? Siku hizi,wanaomuanimi Mungu labda,wao ndo waseme ni muweza. Vingine vyote,takataka tuKuna mtu anategwa ajae mzima mzima aangukiwe na papa(USA)
Vita si kula ubwabwa mkuu. Hata hiyo USA, juzi tuliona. Nani alitegemea raisi mstaafu angefanyiwa alichofanyiwa? Na ni kweli unadhani alikoswa? Au tu lilikuwa fundisho,muone kwamba hakuna lisilowezekana!
🤣🤣🤣🤣Biden alivyochoka vile akifoka si anaanguka kwa kuishiwa nguvu itabidi afoke kwa kutamka neno moja moja kila baada ya sekunde 30
Iran chakavu ambayo wayahudi wanaingia na kutoka na kuua wairan na yeyote wamtakaye kama panya ndo itoe kipigo kwa Israel,Hayakuwa mazungumzo bali kufokewa kama mtoto mdogo, kwenye kuambatana na kupewa maelekezo:
View attachment 3059955
Majibu ya Natenyahu: "nimekosa mimi. Nimekosa sana. Nimekosa baba." Yobbo style.
Transcript nzima kama ilivyo, hapo post #2.
