Kuelekea kipigo cha mbwa Koko, Biden amfokea Natenyahu

Kuelekea kipigo cha mbwa Koko, Biden amfokea Natenyahu

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Hayakuwa mazungumzo bali kufokewa kama mtoto mdogo, kwenye kuambatana na kupewa maelekezo:

IMG_20240802_220128.jpg


Majibu ya Natenyahu: "nimekosa mimi. Nimekosana sana. Nimekosa baba." Yobbo style.

Transcript nzima kama ilivyo, hapo post #2.
 
Kuna mtu anategwa ajae mzima mzima aangukiwe na papa(USA)
Vita si kula ubwabwa mkuu. Hata hiyo USA, juzi tuliona. Nani alitegemea raisi mstaafu angefanyiwa alichofanyiwa? Na ni kweli unadhani alikoswa? Au tu lilikuwa fundisho,muone kwamba hakuna lisilowezekana! Sniper,akose,kwenye mita 150(inavosemekana)toka umbali wa tageti ? Hivi,huo ujasiri,unaufikilia? Siku hizi,wanaomuanimi Mungu labda,wao ndo waseme ni muweza. Vingine vyote,takataka tu
 
Vita si kula ubwabwa mkuu. Hata hiyo USA, juzi tuliona. Nani alitegemea raisi mstaafu angefanyiwa alichofanyiwa? Na ni kweli unadhani alikoswa? Au tu lilikuwa fundisho,muone kwamba hakuna lisilowezekana!

Wanadhani ya "Rambo" wayaonayo kwenye"First Blood" ni real. Nje ya hapo wakwelewe vipi?
 
Hayakuwa mazungumzo bali kufokewa kama mtoto mdogo, kwenye kuambatana na kupewa maelekezo:

View attachment 3059955

Majibu ya Natenyahu: "nimekosa mimi. Nimekosa sana. Nimekosa baba." Yobbo style.

Transcript nzima kama ilivyo, hapo post #2.
Iran chakavu ambayo wayahudi wanaingia na kutoka na kuua wairan na yeyote wamtakaye kama panya ndo itoe kipigo kwa Israel, :ABDULpls: :ABDULpls: :ABDULpls: :ABDULpls: :ABDULpls:
 
Back
Top Bottom