Kuelekea kipigo cha mbwa Koko, Biden amfokea Natenyahu

Kuelekea kipigo cha mbwa Koko, Biden amfokea Natenyahu

Iran chakavu ambayo wayahudi wanaingia na kutoka na kuua wairan na yeyote wamtakaye kama panya ndo itoe kipigo kwa Israel, :ABDULpls: :ABDULpls: :ABDULpls: :ABDULpls: :ABDULpls:

Sasa kulikoni kumkumbilia babu wa watu kwa ulinzi hata aache kucheza na wajukuu zake?
 
Sasa kulikoni kumkumbilia babu wa watu kwa ulinzi hata aache kucheza na wajukuu zake?

Israeli navy says it completed test of LRAD long-range defence system​

The Israeli navy completed this week a successful test of the LRAD long-rang interceptor, which is meant to take out a variety of threats, including cruise missiles and rockets, the military has said.
The test was carried out with Israel on high alert for possible attacks from Iran and its allies in the region – in retaliation to the killing of Haniyeh in Iran and Hezbollah commander Fuad Shukr in Beirut.
 
Hayatollah mwenyewe anaishi kwenye mahandaki saa hizi maana rais, haniya na wengine kibao wameuwawa na myahudi kama mbwa tena ndani ya Iran
Ila huyu alipigwa sikio ndiyo mwamba aishie ghorofani?

Unadhani Natenyahu hashindi kwenye bunker?
 
Ila huyu alipigwa sikio ndiyo mwamba aishie ghorofani?

Unadhani Natenyahu hashindi kwenye bunker?
naona wairan wako wanafanya mazoezi makali mnoo ya kuipiga israel🤣😂😆👇👇
GLCOPzmXwAESe9F.jpeg
 
Vita si kula ubwabwa mkuu. Hata hiyo USA, juzi tuliona. Nani alitegemea raisi mstaafu angefanyiwa alichofanyiwa? Na ni kweli unadhani alikoswa? Au tu lilikuwa fundisho,muone kwamba hakuna lisilowezekana! Sniper,akose,kwenye mita 150(inavosemekana)toka umbali wa tageti ? Hivi,huo ujasiri,unaufikilia? Siku hizi,wanaomuanimi Mungu labda,wao ndo waseme ni muweza. Vingine vyote,takataka tu
Vimbwanga vya dunia.
 
Hayakuwa mazungumzo bali kufokewa kama mtoto mdogo, kwenye kuambatana na kupewa maelekezo:

View attachment 3059955

Majibu ya Natenyahu: "nimekosa mimi. Nimekosa sana. Nimekosa baba." Yobbo style.

Transcript nzima kama ilivyo, hapo post #2.
wanasema hivyohivyo ili iran apeleke kichwa chote, afu wao wanakuja wanakikata moja kwa moja. juzi waziri wa ulinzi alisema wazi, ukipiga israel tutaisaidia kukupiga, na biden umri wake umeenda, kila anachosema wala anachotaka kufanya hakizingatiwi, akili yake kama imeruka kidogo kwa uzee.
 
Israel ndio wanaiendesha huyo Biden mwenye ugonjwa wa kusahau Hana ubavu wa kumfokea Netanyau, ni maneno ya kujifariji.
 
Back
Top Bottom