- Thread starter
- #81
Kale ka Nchi bila USA ni mavi ya panya 😁😁
Biden kawaumbua wote tokea Tel Aviv hadi wale wa Buza ndani ndani huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kale ka Nchi bila USA ni mavi ya panya 😁😁
dogo kwani jamii forum ni ya wakristo, afu kwetu wapi hebu niambie bwege nini wewe.Kwamba una majina mia hiyo ituhusi sisi nini wengine ndugu?
Nendeni shule kusoma kujua tofauti za kuandika public na direct.
Ukiweka utumbo hapa tukikustahi twakuambia.
Kama hupendi, kwani majukwaa yenu umeyapotea njia?
Nenda kauze machungwa kule soko mjinga Tabora, we unajua nini wewe. Israel bila ya US, Western na hizi nchi za kiarabu Jordan. Saud Arabia , Egypt, UAE, Bahrain na Morocco asinge baki hapo hata siku moja hao ndio wanamlinda.
Iran umfaninishe na uharo we hutazami US na UK ndio wako huko kumlinda 😄
Kumradhi ndugu friendly fire siyo myth.dogo kwani jamii forum ni ya wakristo, afu kwetu wapi hebu niambie bwege nini wewe.
Yule MK254 ni bwege sana, mimi siku hizi sina time naye, yule ni mfanya kazi kwenye nyumba za wazungu pale mombasa huoni kakaa kishoga shoga 😄Oops!
Kumradhi ndugu nilidhani napambana na jamii ya MK254 sikuwa nimekusoma vyema.
It was a failure on my side; an oversight; indeed a terrible mistake!
My sincere regret.
Kamekaa kama bibilia mara Yesu ni Mtume mara Mungu mara mtoto wa Mungu 😄 ndio hako kataifa teule, aliye piga Yemen ni US na UK kwenye yale matank ya mafuta kakajidai kenyewe, vita anapigana US na UK na France kanajidai kenyewe. Kakipeleka ndege au drone basi ni US ndio kakambia kapige sehemu flani. Afu vinakuja vijamaa vya aliye kosa nyumba kaishia chini ya mti kumsifu Israel 😄Kale ka Nchi bila USA ni mavi ya panya 😁😁
Yule MK254 ni bwege sana, mimi siku hizi sina time naye, yule ni mfanya kazi kwenye nyumba za wazungu pale mombasa huoni kakaa kishoga shoga 😄
Kamekaa kama bibilia mara Yesu ni Mtume mara Mungu mara mtoto wa Mungu 😄 ndio hako kataifa teule, aliye piga Yemen ni US na UK kwenye yale matank ya mafuta kakajidai kenyewe, vita anapigana US na UK na France kanajidai kenyewe. Kakipeleka ndege au drone basi ni US ndio kakambia kapige sehemu flani. Afu vinakuja vijamaa vya aliye kosa nyumba kaishia chini ya mti kumsifu Israel 😄
Ingekuwa hivyo basi hata babu yako angeifahamu.
Ingekuwa hivyo basi hata babu yako angeifahamu.
Waarabu walishajitambua na kukiri kwamba Israel wana haki ya kujilinda kwani ardhi ni yao na wametambua kwamba hawana sababu ya kufia kwenye deni la wapalestina.Gharama aliyolipa mpalestina hadi sasa ilikuwa inatosha kwa nchi za kiarabu kutambua ilikuwa hakuna muda bora kama huu wa kumfunza adabu mwisrael sasa once for all.
Hata tishio la wote tu kumkabili kwa umoja wao bila ya kumsikiliza tena Marekani lilikuwa linatosha mno kuwa na suluhu yao ya kudumu.
Tatizo kuu, vipi busara kuwa dhahiri kwa kila mtu?
Waarabu walishajitambua na kukiri kwamba Israel wana haki ya kujilinda kwani ardhi ni yao na wametambua kwamba hawana sababu ya kufia kwenye deni la wapalestina.
Sikuelewi kabisa kwani unaongea kiswahili swahili sana.Ni wale mkikutana nao kwa kiboko ya wachawi kabla hamjafurushwa ndiyo waliokwambia hayo?
Sikuelewi kabisa kwani unaongea kiswahili swahili sana.
Hayo unayoongea ni tofauti sana na uhalisia. Kama unafuatilia siasa za marekani utagundua kuwa sio leo wala kesho USA itamtupa Israel. Angalia mfano, mme wa Harris Kamala ni myahudi, anayetatajiwa kuwa mgombea mwenza wa Harris , Gov Shapiro ni myahudi, tena anaye practice dini ya kiyahudi. Na upande wa Republican ndio kabisa sapota wakuu wa ISRAEL. Sasa hapo inakuwaje? Sapoti kwa Israel ni kete kubwa sana kwa wanasiasa wa marekani.
Netanyahu anajua huu ndio wakati wa kufanya atakavyo maana anajua sapoti ipo tu. Watake wasitake. Nawaonea huruma maadui wa Israel.