- Thread starter
- #61
Ubishani wa kijinga kabisa huu.
Ushabiki wa vitu visivyowezekana.
Iran ubavu huo hana na hawezi kua nao wala kuthubutu.
Ujinga ni relative na hasa kilichopo mezani kinapokuwa ni "full nukuu" teba kutokea kwa rais wa dunia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubishani wa kijinga kabisa huu.
Ushabiki wa vitu visivyowezekana.
Iran ubavu huo hana na hawezi kua nao wala kuthubutu.
Sawa tusubiri.Ujinga ni relative na hasa kilichopo mezani kinapokuwa ni "full nukuu" teba kutokea kwa rais wa dunia.
Ngoja mpumbazwe mjae wazima wazima akili ya Mwarabu ni ndogo sana kwenye haya mambo yan mwarabu ni km muAfrika tu.
Yani Yemen ,Lebanon ,Gaza na Palestine wote mnapigwa kwa wakati mmoja na kinchi kimoja kdg tu. Mwenzeni akpga pigo moja ni la maana hao waarabu wao n kama Nyumbu ety wanarusha tu makombora ilimradi yaelekee Israeli bila target yyte 😆
Mm ni muAfrika a pure black man kwa hiyo hayo mazungumzo ya Biden na Netanyahu yalkuwa ni yakufokeana tu !? Nini kiliendelea baada ya kumalza kufokeana!? Je Waliweka mipango mingne na ndio mbona haijaandkwa na kama laa mbona haijaandkwa!?Mkuu waarabu hawako hapa. Ungewaandikia huko wALiko na labda kwa kiarabu si ingependeza zaidi?
Zingatia hapa kumerushwa kilichojiri mazungumzo ya simu Biden Natenyahu siku ya alhamisi.
Zaidi sana ipo flashback ya kilichojiri magogoni ya Marekani Natenyahu alipozuru huko.
Nini kimekukera hadi hapo ndugu Hadi kutudhania tusiokuwamo kuwa waarabu?
Kwani labda wewe ni myahudi ndugu?
Mm ni muAfrika a pure black man kwa hiyo hayo mazungumzo ya Biden na Netanyahu yalkuwa ni yakufokeana tu !? Nini kiliendelea baada ya kumalza kufokeana!? Je Waliweka mipango mingne na ndio mbona haijaandkwa na kama laa mbona haijaandkwa!?
Soon kuna watu watalia tena hamtaamini.
Kobaaaz una shida kweli mbona povu sana sheikh? vipi shida nini hasa? jana hukuwepo kwenye listi ya mgawo wa tende?Bila ya shaka unakubaliana na usemi huu:
"Bila Marekani Israel ni Mafi tu."
Amesikika mjumbe mmoja JF akinena kwa lugha.
Cc: taamu
Kobaaaz una shida kweli mbona povu sana sheikh? vipi shida nini hasa? jana hukuwepo kwenye listi ya mgawo wa tende?
Asikudanganye mtu!
Alipo Israel lazima US awepo!
Mbona amepeleka Manowari kubwa USS Roservet na wana maji 4000 mashariki ya Kati?
sawa sheikh ubwabwa dah kumbe waarab wakikunyima tende ndo unakuwa mkali namna hii pole sanaKulikoni kunikasirikia miye na hata kuniita miye majina yenye kuwahusu ninyi kizezeta zezeta?
Hakuna neno langu popote, zaidi ya kuwa buzi lenu hilo hapo:
View attachment 3060258
Limesema lenyewe "kwishney," kwamba mengine ni historia.
Kama umeguswa, pambaneni na buzi lenu huko?
sawa sheikh ubwabwa dah kumbe waarab wakikunyima tende ndo unakuwa mkali namna hii pole sana
Atafanyaje sasa na Netanyahu keshayalunda mtu na baba yake waleSasa mbona ametuma wanajeshi 4,000
Nenda kauze machungwa kule soko mjinga Tabora, we unajua nini wewe. Israel bila ya US, Western na hizi nchi za kiarabu Jordan. Saud Arabia , Egypt, UAE, Bahrain na Morocco asinge baki hapo hata siku moja hao ndio wanamlinda.wayahudi wana akili, pesa, teknolojia, na wanaendesha dunia, huwezi wafananisha na hao waajemi chakavu ambao badala ya kuiendeleza nchi yao wamebakia kuwa magaidi.
😃🤣🤣🤣Ila akili za wabongo tunazijua wenyeweBiden alivyochoka vile akifoka si anaanguka kwa kuishiwa nguvu itabidi afoke kwa kutamka neno moja moja kila baada ya sekunde 30
kumbe una majina mawili mnaona kama vichaa wako wengi humu, mimi nilimquote mwingine amejisahau kaingia wangu wangu kwenye cha kike.Kwamba mjua nini ndiwe wewe kwa mfuga mbwa pale?
Uandishi wenyewe elimu duni.
Kwamba umeona wapi nimeandika kipi?
Hata uijuilie nukuu wapi kijiweni wewe?
Hivi kwani umeshamaliza kujadili jezi yenu tayari?
Bure kabisa!
Kale ka Nchi bila USA ni mavi ya panya 😁😁Hayakuwa mazungumzo bali kufokewa kama mtoto mdogo, kwenye kuambatana na kupewa maelekezo:
View attachment 3059955
Majibu ya Natenyahu: "nimekosa mimi. Nimekosa sana. Nimekosa baba." Yobbo style.
Transcript nzima kama ilivyo, hapo post #2.
Na Trump akishika mpini ndio kabisaa wanaweza kukafuta kwenye ramani ya Dunia maana Trump hayuko tayari kutumia.pesa kwenye upumbavu wa NetanyahuHayakuwa mazungumzo bali kufokewa kama mtoto mdogo, kwenye kuambatana na kupewa maelekezo:
View attachment 3059955
Majibu ya Natenyahu: "nimekosa mimi. Nimekosa sana. Nimekosa baba." Yobbo style.
Transcript nzima kama ilivyo, hapo post #2.
Na Trump akishika mpini ndio kabisaa wanaweza kukafuta kwenye ramani ya Dunia maana Trump hayuko tayari kutumia.pesa kwenye upumbavu wa Netanyahu