Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mfumo wa utumishi tz upo katika makundi matatu ndani ya dola.nayo ni operational tecruitment na apointment .na mifumo hii inaweza kumpa ajira kutokana na kura either kutoka kwa wananchi au mamlaka za ajira baada ya kuona unakidhi vigezo.Umelipokea andiko langu kwa mtizamo hasi.. hakuna niliposema waliosoma arts ni villaza. na hakuna niiposema waliosoma uhasibu au ualimu hawakusoma sayansi.
kada zote zinategemeana, hakuna engineer bila mwalimu, nahakuna shule bila engineer. lakin ni jambo la busara kuzipa kipaumbele baadhi ya kada kwa sababu njia yake ni ngumu kuliko kada nyingine, lengo likiwa kuwatia moyo watoto kupenda kada husika japo wanajua ni ngumu.
kutokana na ugumu uliopo wa kuwa engineer kamili, engineer akilipwa sawa na mwalimu watoto watachagua kuwa walimu na tutakosa kada hiyo.
achana na mambo ya passion mkuu.. sijui mambo ya wito.... hayo ilikuwa zamani. siku hizi mafanikio ya kimaendeleo ndo suala la msingi.
ok.. rudi kwenye mada sasa..Mfumo wa utumishi tz upo katika makundi matatu ndani ya dola.nayo ni operational tecruitment na apointment .na mifumo hii inaweza kumpa ajira kutokana na kura either kutoka kwa wananchi au mamlaka za ajira baada ya kuona unakidhi vigezo.
KAtika mifumo hiyo mitatu mmoja una nguvu kuliko mwingine na ndo wenye mishahahara na malupulup mengi kutokana na kupewa mamlaka kuliko mingine.mfumo huo ni wa apointment mfano raisi anakuwa apointed na wananchi. Mbunge nk.
Rais ana apoint waziri na wakuu wa mikoa na wilaya.
Tooooo much ukraziness...ndoto ambayo haitokuja kutimiaMkuu, wakati wenzio wanachagua kitu cha kwenda kusomea chuo wewe ulichagua ualimu kwa kuamini utapata mkopo 100%. Sasa mkopo wa miaka mitatu unaharibu maisha yako yote labda uwe mpambanaji.
Wakati wenzako wanasoma PCB wew uko busy na HKL yako ya kuunga unga ili upate tiketi ya chuo.....
Later unaanza kuota ndoto za watu wote kulipwa sawa? Crazy huh!
Hlf anatakiwa ajue kwamba hizi id za jf si za kweli..na una uwezo wa kujibadilisha status any time as long hakuna anayekufahamu..next tym naweza kuja kujifanya mm ni dent kumbe ni mzee basi tu ili nipresent mada yanguAcha kufatilia watu JF utaolewa, ukute we mzee nishawahi kukupiga DIGITAL RECTAL
Una akili sana wewe......Nadhani Idara zinazofanya kazi day and night (24/7), no weekend no sikukuu, ... wanatakiwa kupewa motisha zaidi. Kwa mfano Idara ya Afya na Majeshi should be given priority.
Ni East Africa ambapo thamani ya madaktari iko chini nchi za wenzetu km kusini ya Afrika na Amerika madaktari ni hot cake Mishahara minono na marupurupu ya kumwaga ,huwezi tu ukajitokea home eti unataka kumuona daktari lzm appointment na ukija kwa Emergency lzm ujiandae haswa!kinachoharibu huku ni misconducts za watu wa pharmacy kuuza dawa bila vyeti kwa wenzetu hakuna dawa mpaka umetoka Hosp una prescription ya Registered personnel lbd kwa dawa simple km cough syr na dawa za vidonda.Lkn yanakuja haya muda Si mrefu nafikiri heshima itakuja!pamoja na hayo, Mimi nipate Div one ya pcb, nilikuwa nakesha nasoma wewe na HKL yako miguu juu umelala bwenini, nije chuo kikuu nisome 6yrs na msuri mnene, kupasua maiti na kadhia zote ndo Napata registration ya udactari, wewe miguu juu unasoma 3yrs ushapada degree yako ya ualimu, tena ya discussion tu kwenye vimbweta.
bado kazini niitwe hata usku wa manane kuwahudumia watu,sina sikukuu wala jumapili, wewe saa 9 alasiri ushafunga ofisi mpaka kesho na ni weekdays tu.
Alaf tuajiliwe na kulipwa mshahara sawa???? hell no. tinaenda private kama noma na iwe noma.
dactari lazima alipwe mshahara zaidi ya mwalimu, tusipofanya hivi tutawakosa madactari maana kutakuwa hakuna haja kuumia na masomo miaka yote hiyo alaf tulingane mshahara na mwalimu aliyesoma bila kuumia sana. wote tuwe waalimu tu.. alaaah.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] inafurahisha huwa mnafanya utafiti wa mnayozungumza???unaongea usivyovijuwa, kila idara INA changamoto zake na huwezi kusema kuwa idara ya afya ina changamoto nyingi kuliko zilizoko idara ya elimu, hauko siliazi
Daaah tumsameh bure tu ndio uwezo wake ulipoishia[emoji57] [emoji57]Kuna vitu vingine vinachekesha kweli dunia mzima haupo huo utaratibu mtu na MMED yake ya neurology anachambua ubongo kama mchele amekaa darasani miaka 9 eti alipwe sawa na mwalimu wa civics form one, NONSENSE.
Ukiona sehemu wanalipa vizuri hamia huko.
Idara ya afya inahitaji upendeleo zaidi
kwani daktari ninani hebu tuondoe mawazo mgando nafikiri muda umefika wa watu kubadilila
Hapo ndipo watawala wanapowawezea wafanyakazi wa Tanzania, yameanza kubishana yenyewe kwa yenyewe
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] inafurahisha huwa mnafanya utafiti wa mnayozungumza???
Ni East Africa ambapo thamani ya madaktari iko chini nchi za wenzetu km kusini ya Afrika na Amerika madaktari ni hot cake Mishahara minono na marupurupu ya kumwaga ,huwezi tu ukajitokea home eti unataka kumuona daktari lzm appointment na ukija kwa Emergency lzm ujiandae haswa!kinachoharibu huku ni misconducts za watu wa pharmacy kuuza dawa bila vyeti kwa wenzetu hakuna dawa mpaka umetoka Hosp una prescription ya Registered personnel lbd kwa dawa simple km cough syr na dawa za vidonda.Lkn yanakuja haya muda Si mrefu nafikiri heshima itakuja!
Huwezi ukamlinganisha daktari aliesoma msuli heavy wa chuo five years na mi mwenye degree ya miaka mitatu tena niliyoipata kirahisi kama ninanawa.kada zote zinapaswa kupewa upendeleo sawa