Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vipi kuhusu tuhuma zilizojitokeza za kusajili wapiga kura wageni ili kuokoa ccm na kwamba sasa mnawaogopa kwenye umiliki wa line za simu ?Kitambulisho cha mpiga kura kazi yake ni moja tu kama kinavyoitwa au kama jina lake lilivyo bwashee!
Wao kazi yao ni kupiga kura bwashee!vipi kuhusu tuhuma zilizojitokeza za kusajili wapiga kura wageni ili kuokoa ccm na kwamba sasa mnawaogopa kwenye umiliki wa line za simu ?
basi sawaWao kazi yao ni kupiga kura bwashee!
Umeongea ulinganifu usio na maana kabisaPointi yenye mashiko hapo ni hilo la Vijana kusajili kiholela.
Hayo mengine ni matakwa tu ya teknolojia, na hatuna uchaguzi zaidi ya kuenda nayo sambamba.
Sasa tu usichanganye changamoto zenu za miundo mbinu, kipato duni cha Wananchi wenu kutaka kukwepa mabadiliko..usisahau hizo teknolojia karibu zote hatuna asili nazo, sisi ni watumiaji tu.
Ni ajabu kama unataka bado tuwe na sauti juu ya kitu tusicho na asili nacho.
Mfano mzuri tu ni kama hivi Microsoft walivyotangaza tangu tar 14 ni wisho wa ku support window 7, kwa hiyo kwa ushauri wako au Watu wa kaliba yako unaona Microsoft wanasumbua? ni juu yako Mzee baba ku upgrade Window yako au la, wewe ndio upime hasara na faida sio wao tena.
mjibu mwenzio vizuri majibu ya kutosha, tulivitumia hivi sehemu kibao tu,usimuharibie swali lake lina kamsingi flani hivi, >alama za vidole si wanazo.Kitambulisho cha mpiga kura kazi yake ni moja tu kama kinavyoitwa au kama jina lake lilivyo bwashee!
daah asante mkuu kwa feedbac
Pointi yenye mashiko hapo ni hilo la Vijana kusajili kiholela.
Hayo mengine ni matakwa tu ya teknolojia, na hatuna uchaguzi zaidi ya kuenda nayo sambamba.
Sasa tu usichanganye changamoto zenu za miundo mbinu, kipato duni cha Wananchi wenu kutaka kukwepa mabadiliko..usisahau hizo teknolojia karibu zote hatuna asili nazo, sisi ni watumiaji tu.
Ni ajabu kama unataka bado tuwe na sauti juu ya kitu tusicho na asili nacho.
Mfano mzuri tu ni kama hivi Microsoft walivyotangaza tangu tar 14 ni wisho wa ku support window 7, kwa hiyo kwa ushauri wako au Watu wa kaliba yako unaona Microsoft wanasumbua? ni juu yako Mzee baba ku upgrade Window yako au la, wewe ndio upime hasara na faida sio wao tena.
Kweli?Kifurushi cha data nina cha mwezi sijuwi ni fanyeje nikimalize maana kwa siku mbili walizo niambia zimebaki wafunge laini Yao siwezi kumaliza kifurushi changu! Haiwezi kuwa kesi ya uhujum uchumi!
Mimi kale kazee kalikolala kaburini ndiyo kachawi kakuu ka hii nchiKweli tunaishi kama manyumbu!
Yaani mtu mmoja (magu na genge lake) anawatesa namna hii?
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani mkuumjibu mwenzio vizuri majibu ya kutosha, tulivitumia hivi sehemu kibao tu,usimuharibie swali lake lina kamsingi flani hivi, >alama za vidole si wanazo.
Mimi nilisajili wakanitumia message nimekamilisha usajili niweke salio niendelee kufurahia huduma, sikuweka. Baada ya siku tatu wakarudisha ule ujumbe wao wa kukumbusha kusajili. Nikasema ni kwa sababu sijaweka vocha? Nikajiapiza siendi kusajili tena kama wanafunga wafunge, juzi nashangaa wameondoa ule ujumbe kucheki usajili wanasema niko fully registered nikasema fyuuu zenuHapo hapo kwenye Voda,, hawa jamaa wanaringa sana ! Voda wanajiona wao ni tofauti sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona umeamua kufupisha mjadala, ila ulichoongea ni cha msingi sanaSawa
MTC | 101| [emoji769]
Kwenye huduma za kifedha litabaki jina lile lile la zamani, ni changamoto zaidi maana laini itakuwa sio yako wala huyo uliyemsajilia sio yake. Omba usipate tatizo kwenye huduma za kifedha
Ukute mama ake huko kijijini mda huu yupo chooni anaharisha kwa sababu ya kula mi mboga ya polini, nan aliewaloga??Hata pale mwananchi anaponyanyaswa na serikali yake bila hatia kazi yako ww nikujikomba kwa jiwe ili upate mlo!
Nani kalalamika hapa kwamba ana namba ya NIDA na ameshindwa kusajiri?
Hata hivyo, wakati wewe unasifu na kuabudu watawala walio kosa hekima, ukidhani mnawakomoa wapinzani,
ndg zako huko kijijini wanasota na NIDA na hawajafanikiwa kupata hata namba na ni miongoni mwa watakaofungiwa line zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanajua maisha yako kama Dar na Dodom nchi nzimaNadhani tatizo moja la viongozi wa nchi ni kutokuelewa mazingira ya nchi wanayoiongoza.
Wanataka kufanya mambo utadhani ni ulaya, lakini katika kufanya huko wanagusaguasa tu, wanalipualipua
Nchi yetu hii imegubikwa na umasikini wa kufa mtu kuna baadhi ya operesheni ukitaka kuziendesha lazima ukonside vitu vingi