Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila mimi sijatetea suala la muda kutosha ama la, kuwepo kwa deadline ama isiwepo n.k.
Mimi nilimjibu Mleta uzi upande wa uhitaji wa kubadilika na teknolojia.
Nadhani Wenye mamlaka wana jukumu la kuangalia mkwamo wa zoezi upo wapi na wasiwaonee wasio na hatia, kama ni NIDA basi wao ndio wabebeshwe msalaba wao na si Wananchi.
nasema kweliWatu kama nyie mmeshasajili kitamboo ila mnausoma upepo tu.
Kuna wadau shuleni ukisemaga "kusoma kuelewa kukesha mbwbwe wao wanasapoti huo msemo kumbe wanapiga msuli home wa kukesha
Sent using Jamii Forums mobile app
Line yangu ya safaricom imefungwa sojatumia siku 90.. Roho imeniuma ndio sina trip ya huko January hii!
Mkiambiwa Serikali hii ni "Serikali Tegeshi" mnalalamika nyie waimba mapambio.NIDA kumekuwa na folen ya kufa mtu sio kwa kuwa watu wanataka vitambulisho vya Taifa bali kwa kuwa wanapigania namba zao za simu zisizimwe
Yaan watu hawana mpango na vitambulisho sema tu inabidi wawe nacho kukamilisha usajili
I.e line ya simu ni muhimu kuliko kitambulisho
ikitangazwa kuwa usajili wa line sio muhimu kitambulisho cha NIDA basi folen inaisha fasta
WhatsApp kinachotumika ni internet namba yako utambulisho tu ndio maana unaona mtu yupo Ulaya ila anatumia utambulisho wa namba yake ya voda au tigo utashindwa kuiupdate kwa sababu namba za kuverify wanakutumia kwenye namba ya utambulishoJe laini yako ikifungwa na ulikuwa unaitumia WhatsApp akaunti yako itaendea kuwepo !!
Wakati nauliza sikua nafahamu kwamba inawezekana baada ya kuuliza nikapata majibu humu humu...Kama watu wameshafanya na imewezekana hill swali umeuliza la nini?
WTF! fuc.k yuMulikua wapi sikuzote hizo, vitambulisho vilianza kutolewa muda mrefu tu mkazembea now ndio mnaangaika
Wajinga watailaumu selikali
Sent using Jamii Forums mobile app
OkWakati nauliza sikua nafahamu kwamba inawezekana baada ya kuuliza nikapata majibu humu humu...