Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

TCRA kwa usajili gani!? Maana kuna usajili tuliufanya huko nyuma, huu wa NIDA ni tofauti
 
Nasikia leo Nida watatoa no hapo hapo na wasajili laini WA mtandao yote watakuwepo mbagala Zhakiemu jijini Dar esalam wilaya ya temeke kuanzia saa mbili
 
Povu ruksa ila bado muda mchache wengune watakua wanaenda internet cafe ndio tuwaone jf hahaaa haaaaaa
 
kagombe,
Muda mwingine tumia kichwa kilichoko juu ya mabega kufikiri na sio kilichoko chini ya kitovu, watu wamejiandikisha mwaka 2013 hadileo hawajapata, waziri kaenda ruvuma kamkuta afisa wa nida anavitambulidho elfu 14 kavikalia hajavigawa, halafu unaleta janaba hapa
 
subiri wakuletee povu japo umeongea ukweli mchungu,

NIDA walianza tangu 2013 uko, wa tz wanakumbuka shuka leo
 
Mabadiliko yanapaswa kwenda na hali na uchumi wa watu.
Kama kuleta dijitali kunamaanisha expensive technology kulinganisha na hali ya uchumi wa watu, then kuintroduce hiyo dijitali ni counterproductive.
Hivi unajua siku hizi bongo kumiliki TV ni kama anasa?
Mkuu hivi umeipata pointi yangu?

Sisi sio wenye maamuzi ya mwisho kwenye maswala ya teknolojia, sasa kama wenye teknolojia yao wakisema teknolojia iliyopo tunaachana nayo sisi ni nani kuendelea nayo?

Kama mabadiliko yatasababisha Wananchi wako kukosa huduma unadhani kwamba itakuwa nafuu kwa kubaki na teknolojia ya awali?. Nani ataihudumia hiyo teknolojia utakayobaki nayo ili hali wamiliki wameshaachana nayo?

Mkwamo utabaki palepale tena ni nafuu mnavyokwama mkiwa sambamba na teknolojia kuliko kukwamia kwenye teknolojia iliyokwishatupwa na Wamiliki/waanzilishi.
 
a
Muda mwingine tumia kichwa kilichoko juu ya mabega kufikiri na sio kilichoko chini ya kitovu, watu wamejiandikisha mwaka 2013 hadileo hawajapata, waziri kaenda ruvuma kamkuta afisa wa nida anavitambulidho elfu 14 kavikalia hajavigawa, halafu unaleta janaba hapa
Hivi wewe umejiandikisha alafu afutilii unategemea nini mie natoa mfano hai tulio jiandikisha nyumba kwangu muda uliopangwa nilikwenda wilayani na kukuta namba zetu ziko tayari wewe unafikiri hivyo vitambulisho watu wengi ni wazembe nilitembelea ofisi fulani ya kata huko uzaramoni kwenu.ilikua mwaka jana nikuta vitambulisho kibao watu wajaenda kuchua toka kipindi hicho.hapa tukubali sisi watanzania tumekua wazito ata kwenye mambo ya msingi.uvivu wenu ndio maana mnatuita sisi wa mkoani ni kiboko yenu.
 
a

Hivi wewe umejiandikisha alafu afutilii unategemea nini mie natoa mfano hai tulio jiandikisha nyumba kwangu muda uliopangwa nilikwenda wilayani na kukuta namba zetu ziko tayari wewe unafikiri hivyo vitambulisho watu wengi ni wazembe nilitembelea ofisi fulani ya kata huko uzaramoni kwenu.ilikua mwaka jana nikuta vitambulisho kibao watu wajaenda kuchua toka kipindi hicho.hapa tukubali sisi watanzania tumekua wazito ata kwenye mambo ya msingi.uvivu wenu ndio maana mnatuita sisi wa mkoani ni kiboko yenu.
Kwa akili yako unaamini mtu analalamika tu bila kufuatilia? Umesahau mzee kapilimba alifukuza waingiza data wote wapivyodai stahiki zao, unadhani hawakuyatupa mafomu na kufomati database? Ujinga wa mtu mmoja iweje yawe mateso kwa watanzania milioni 20?
 
W
Mulikua wapi sikuzote hizo, vitambulisho vilianza kutolewa muda mrefu tu mkazembea now ndio mnaangaika

Wajinga watailaumu selikali

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sio mbinafsi kama wewe, wewe ukiandika jambo mtandaoni ujue linakuhusu.
Mimi nimewasemea watu, kitambulisho nilikipata miaka 2 kirahisi kazini kama mtumishi wa umma, lakini wananchi wengi wamehangaika bila mafanikio.
 
Back
Top Bottom