Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

Kuna wengine ni wa kuonewa huruma,ila wengine wanastahili kufungiwa ni wazembe,kuna watu wanajitiaga wako bize na wengine wanangojea siku za mwisho za zoezi ndio wanaanza kuhangaika
 
Kesho watakuja na tamko lingine
La kuongeza muda tena

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
MH atakuwa amefanya Jambo Jema Sana kama atatoa amri Muda uongezwe. Na itakuwa vema kama atatoa Muda wa kutosha like six months or something ili watu wote waweze kupata namba za NIDA na hivyo kutimiza zoezi la kusajili line zao.
 
Mkuu, hebu kuwa serious, watu tumejaza fomu za kuomba kitambulisho tangu mwezi wa tisa mpka leo sijapata namba , afu unanificha laini , hapo kosa Ni la Nani , wanipe namba au kitambulisho then wafunge kwa uzemve wangu
 
Wengine wanasubili kupewa kesi za utapeli maana matapeli washazipata laini zilizosajiliwa tayari,ee Mungu naomba utunusuru kwenda kisutu.
 
Kapimwe kalio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali yangu inabidi ijitathmini kwa kina kuhusu huu usajili kama vipi ipige kimya tu uchaguzi upite ila zoezi limekwama kwa asilimia 50.

Watu hawana hata cheti cha kuzaliwa anapataje kitambulisho cha NIDA wakati wajawazito zahanati za shida watu wanazaliwa vichakani hivi man'gati wangapi na wahadzabe wana vyeti vya kuzaliwa let alone NIDA.

Hili zoezi ni kichekesho serikali ijitathmini imekwama wapi ianze uko chini then haya matamko ya mjini wahakikishe huko vijijini kuko vizuri kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazime tu. Tumechoka kusikia hizo ngonjera za kila siku zinazohusisha maneno matatu ya kuzima, laini na NIDA.
 
Kesho kuna tamko jingine kuonyesha "hekima" waliyonayo wenye nchi.
 
.
Your browser is not able to display this video.


Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…