Umeishia darasa la ngapi?Wamehangaika lini?
Vitambulisho Vina mwaka wangapi toka vianze kutolewa?
Ifike wakati tuache hii tambia ya kutofuatilia kitu mpaka Ikikalibia kufika mwisho ndio uwanze kufuatilia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kutoa hela ya usajili. Wanataka akaunti ya M PESA isome 0 ndo usajili ukamilike.
Wakifungia nitakwenda UKONGA kuwatazama masheikh wa uamsho