Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

Kama wanazima waache wazime , mimi sina muda wa kufanya huo upuuzi. Yaani wajinga wameona hilo ndio waTz wanalohitaji!? Kuna mtu anajiona ana akili kuliko waTz wote, wakati ni bogus tu.
 
Tabutupu, Wapuuzi sana NIDA, tulijiandikishia tangu 2018. Ila cha ajabu wanatoa namba nusu eti wengine wasubirie awamu ya pili!!!!!

Halafu kiongozi wa NIDA anasimama anasema raia wanataka namba kwa muda mfupi!? Pumbaaaaaavu kabisa.
Hajui kuna watu toka 2018 tumepanga foleni kishamba sana!

Halafu pia, wanaojiandikisha sasa wanapata namba ila wale wa mwaka 2018 tunaambiwa tusubirie awamu ya pili, hatujui hata hiyo awamu itakuwa lini?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila aliyeko kijijin ana ndugu yake mjini
 
Naomba mamlaka husika mlitazame hili kwa jicho la ziada picha linaanza raia wako tayari kusajili line zao kwa ambao tayari wamefanikiwa kupata namba za NIDA wakienda kwa watoa huduma Hakuna netwerk kutwa nzima mifumo ya kimtandao ni mibovu sijawahi ona hakuna netwerk hzo line tunasajil vipi? leo mnasema ndio mwisho kuanzia asbh mpk ss netwerk inasumbua. Tumieni akili msikurupuke kutaka kuwafurahisha wenye mamlaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulikuwepo wapi mwaka mzima?
 
ukute ata iyo sijui ni batani au kitufe cha kuzima laini zote hakipo na hakija wai toke...[emoji23][emoji23]
 
Huyo ana mikwara mbuzi hana jeuri hiyo ya kufungia watu laini. Hana. Anapenda cheap popularity kutoka kwa wajinga. Tunaofahamu hulka yake wala haitushangazi.
 
Sasa mkuu niulize wewe hauna kitambulisho jina lako ni Vic Man na ndugu yako kitambulisho anacho anaitwa Van Vic watakubali sasa kusajiri line hio kwa jina la Van Vic?
Usajili wa njia ya alama ya kidole ndio hitimisho la usajili wa laini yako na wanasajili jina jipya la kitambulisho... kwa hiyo haina shida...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania hakuna hackers, ingekua huku kwetu tungekua tunadunda tu

Fanyeni mpango muwa hack TCRA ili muishi kwa amani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…