Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

So mpaka SAA sits za usiku Leo?
 
NIDA sio part ya serikali au unaongelea serikali ipi? Au ujui ndani ya NIDA kuna usalama wa taifa, wizara ya mambo ya ndani etc?
 
Zoezi lilianza tokea 2013 enzi za jk chini ya mkurugenzi wa NIDA bwana Maimu, pigs hesabu miaka mingapi hadi ssa? Utasema serikali imekurupuka? Are you serious?
 

Attachments

  • 20200120_131527.jpg
    158.7 KB · Views: 2
Ofisa Habari nimemsikia redioni leo. Kasema mwisho wa usajili ni leo siku itakapoisha. At close of business today kama hujajaza japo fomu ya kuomba namba na kuiwasilisha NIDA uwe na uhakika tu kuwa utafungiwa.
 
Naona kuna nyuzi zimeunganishwa. Majibu unayopata ni ya uzi uliokuwa unasema TCRA wameanza kufanya mabo yao (Something like that)
 
Waache wapambane na hali zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zoezi lilianza tokea 2013 enzi za jk chini ya mkurugenzi wa NIDA bwana Maimu, pigs hesabu miaka mingapi hadi ssa? Utasema serikali imekurupuka? Are you serious?
Zoezi la NIDA kusajili lilikuwa ni Mkoa baada ya kumaliza Mkoa! Naomba unikumbushe ni lini NIDA walianza kuwasajili Wananchi wa Mkoa wa Kigoma!
 
NIDA sio part ya serikali au unaongelea serikali ipi? Au ujui ndani ya NIDA kuna usalama wa taifa, wizara ya mambo ya ndani etc?
Hao Tiss na Wizara ya mambo ya ndani wako chini ya nani kama sio Serikali?!
 
MKUU HUKU TUNAPOZWA NA NDIDHI MAINDI KWENYE FOLENI YA NIDA πŸ˜‚ πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mimi naona NIDA wapewe ruhusa ya kufuta utaraia wa wote walioshindwa kuthibitisha uraia wao ili wajiondolee lawama za kushindwa kutoa vitambulisho & namba kwa wakati
 
Cheza na fursa mzee...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…