Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,171
- 15,760
Wazimage tu,mimi ndo hata sijui unapita njia gani hadi kupata hiko wanachoita kitambulisho.
Sisemi sikihitaji lah,tatizo njia wanayotaka kuitumia ya kushurutishana kufunga biashara na kwenda kusimama foleni siku mbili kisa card ya taifa ndo unaonitia ukakasi,narudia acha wanifungie na jioni hii voda wamenisisitiza kama sms ya mwisho inavyoonekana hapa but sitahangaika mpaka mfumo wa kutoa hivyo vitambulisho uboreshwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisemi sikihitaji lah,tatizo njia wanayotaka kuitumia ya kushurutishana kufunga biashara na kwenda kusimama foleni siku mbili kisa card ya taifa ndo unaonitia ukakasi,narudia acha wanifungie na jioni hii voda wamenisisitiza kama sms ya mwisho inavyoonekana hapa but sitahangaika mpaka mfumo wa kutoa hivyo vitambulisho uboreshwe
Sent using Jamii Forums mobile app