Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

Wananchi katika mikoa mbalimbali ikiwemo Kilimanjaro, Mwanza, Shinyanga na Dsm wamemuomba Rais Magufuli awaongezee muda wa kusajili line za simu kwa njia ya vidole.

Wananchi hao wamedai kwa kiasi kikubwa NIDA ndio kikwazo cha wao kuchelewa kwani wengine wanafuatilia vitambulisho kuanzia mwezi June mwaka jana.

Source ITV habari!

My take; Serikali ya awamu ya 5 ni sikivu!
Hakuna kuongeza muda tumechoka kila mara kuongeza muda! Wao waendelee kujisajiri tu lakini simu zao zikiwa zimefungwa wakimaliza kusajiri zifunguliwe! Rais ameongeza mara mbili July 2019 na Dec 2019!!
 
Hapa tatizo sio nida , tatizo ni serekali yenyewe haihitaji kuongeza ruzuku kwa nida ili nida waongeze vituo vingi vya uandikishaji , vituo vikiwa vingi zoezi linakua jepesi
Kilichobaki ni usumbufu tu kwa wananchi
Over.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TCRA wanaweza kuzima kwa kuwa wao hawajui mambo ya VAT Mambo ya VAT wahusika ni TRA
TCRA na TRA zote ni Taasisi za Umma
Je hayo ni maamuzi yenye tija kwa Taifa?.
Je hawapaswi kushirikiana kwa ajili ya maslahi mapana ya nchi?.

kuna kitu kinaitwa 'collective responsibility'
 
Wananchi katika mikoa mbalimbali ikiwemo Kilimanjaro, Mwanza, Shinyanga na Dsm wamemuomba Rais Magufuli awaongezee muda wa kusajili line za simu kwa njia ya vidole.

Wananchi hao wamedai kwa kiasi kikubwa NIDA ndio kikwazo cha wao kuchelewa kwani wengine wanafuatilia vitambulisho kuanzia mwezi June mwaka jana.

Source ITV habari!

My take; Serikali ya awamu ya 5 ni sikivu!
Umemalzia na kiitikio kizuri sana Ila sahauni ...
 
Hata pale mwananchi anaponyanyaswa na serikali yake bila hatia kazi yako ww nikujikomba kwa jiwe ili upate mlo!
Nani kalalamika hapa kwamba ana namba ya NIDA na ameshindwa kusajiri?

Hata hivyo, wakati wewe unasifu na kuabudu watawala walio kosa hekima, ukidhani mnawakomoa wapinzani,
ndg zako huko kijijini wanasota na NIDA na hawajafanikiwa kupata hata namba na ni miongoni mwa watakaofungiwa line zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo vijijini ndiyo wameshajisajiri mapema sana labda kijijini kwenu!
 
Back
Top Bottom