Inachekesha sana!!!Wanazima line za simu,Mwananchi wakati wa kujiandikisha kaweka namba yake ya simu hapo.
Kesho namba inatoka NIDA, watampata vipi mwananchi kumpa taarifa za namba yake .
Ni kweli tutazoea tu kwa sababu hakuna namna. Lakini tukichukulia mfano wa kutoka kwenye mfumo wa analogia na kulazimika kununua hivi ving'amuzi wananchi tumezoea katika hali yenye urahisi au ugumu wa maisha?Watu watasajili tu na utashangaa kila mtu soon atakuwa na laini iliyosajiliwa. Hata mfumo wa analojia watu walipinga sana kuwa watu hawana uwezo wa kununua vingamuzi mara sijui nini lkn mfumo ulizimwa na hadi leo maisha yanaendelea. Mabadiliko ni threats kwa watu wengi lkn baada ya muda mchache wanazoea na maisha yataendelea kama kawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wewe ndiye mshauri wa makonda nini,maana kwa akili yake inavyotafsiri ni kwamba wale wote tusiokuwa na vitambulisho wala # za nida tulikuwa tumekalia umbea ndo maana tumepitwa na mambo ya msingi kama haya.Zinazimwa kuokoa pesa zinazopotea kununulia mabando ya kuangalizia shilawadu kwenye youtube na mawasap. Pesa nyingi sana inapotelea kwenye ujinga. Zima zote tuokoe gharama.
Ving'amuzi vya tv ni habari tofauti na hii ya NIDA. Ving'amuzi havikuwa na masharti ya NIDA. Analogia ilizimwa, watu wakanunua ving'amuzi, basi.Watu watasajili tu na utashangaa kila mtu soon atakuwa na laini iliyosajiliwa. Hata mfumo wa analojia watu walipinga sana kuwa watu hawana uwezo wa kununua vingamuzi mara sijui nini lkn mfumo ulizimwa na hadi leo maisha yanaendelea. Mabadiliko ni threats kwa watu wengi lkn baada ya muda mchache wanazoea na maisha yataendelea kama kawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana, ninyi msiokuwa na vitambulisho vya NIDA mkizimiwa simu mtakuwa mmesaidiwa kubana matumizi. Hebu imagine kupitisha mwezi mzima bila kununua bando, ni pesa ngapi unaokoa. Zidisha mara watu milioni kumi.Mkuu wewe ndiye mshauri wa makonda nini,maana kwa akili yake inavyotafsiri ni kwamba wale wote tusiokuwa na vitambulisho wala # za nida tulikuwa tumekalia umbea ndo maana tumepitwa na mambo ya msingi kama haya.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Kuhusu kampuni za simu acha zipoteze mapato, wametuibia sanaHio loss of revenue ambayo washaiweka kwenye 'budget' watafidia vipi?.
kampuni za simu zitakubali kupoteza mapato?..
Wakizima wajiandae
Kila kitu kina faida na hasara
Unaongea as if kichwa umekifungia kabatini au umekisahau kwenye daladala,unajua line zangu kupitia miamala ya pesa ni sh ngapi serikali inapata na tupo wangapi tupo ktk Hali hiyo?Hapana, ninyi msiokuwa na vitambulisho vya NIDA mkizimiwa simu mtakuwa mmesaidiwa kubana matumizi. Hebu imagine kupitisha mwezi mzima bila kununua bando, ni pesa ngapi unaokoa. Zidisha mara watu milioni kumi.
Sisi tunashangilia kupata fursa ya kubana matumizi yeye anasema nini? Hizo simu zifungwe.Habari: Mhadhiri Mstaafu wa Chuo Kikuu Cha Sokoine Dkt. Silvery Ishuza ameshauri serikali kusitisha zoezi la kufunga namba za Simu ambazo hazijasajiliwa kwa kutumia alama za vidole ili kuepusha mdororo wa uchumi unaoweza kujitokeza.
View attachment 1328621
MIMI PIA NAUNGA MKONO KAULI HII YA PROFESSOR.
Source: ITV
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wewe unajali pesa ambazo serikali inapata au zile ambazo wewe unapata?Unaongea as if kichwa umekifungia kabatini au umekisahau kwenye daladala,unajua line zangu kupitia miamala ya pesa ni sh ngapi serikali inapata na tupo wangapi tupo ktk Hali hiyo?
Usichukulie vitu kiwepesi kiasi hiko.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Kangi Lugola sio kiongozi?Nachojua hawatazima
Wakizima ntaamini hatuna Viongozi
..............Dah imebidi nicheke,mkuu wewe Muha nini?Wewe unajali pesa ambazo serikali inapata au zile ambazo wewe unapata?
Furahia hii nafasi ya kusaidiwa kuondoa uteja wa airtime na mabando. Ni kama tunapelekwa sober house, tutarudi na akili tofauti kabisa, tutagundua kuwa maisha bila wasapu na youtube yanawezekana.
Tuwashukuru TCRA kwa kutuokoa dhidi ya uteja huu unaoleta umasikini.
Nyumba ina baba mama na watoto na simu zao zote zina mabando, kutwa kubofya tuuuuuu! Bora zizimwe.
Kama ni miamala tutatumia fahari huduma zimejaa kila kona.
....🤔🤔🤔Ss Mkuu ukiwafikiria wa Kijijini utaweza kuwasajili?.