Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

Hakuna kuongeza muda tumechoka kila mara kuongeza muda! Wao waendelee kujisajiri tu lakini simu zao zikiwa zimefungwa wakimaliza kusajiri zifunguliwe! Rais ameongeza mara mbili July 2019 na Dec 2019!!
 
Hapa tatizo sio nida , tatizo ni serekali yenyewe haihitaji kuongeza ruzuku kwa nida ili nida waongeze vituo vingi vya uandikishaji , vituo vikiwa vingi zoezi linakua jepesi
Kilichobaki ni usumbufu tu kwa wananchi
Over.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TCRA wanaweza kuzima kwa kuwa wao hawajui mambo ya VAT Mambo ya VAT wahusika ni TRA
TCRA na TRA zote ni Taasisi za Umma
Je hayo ni maamuzi yenye tija kwa Taifa?.
Je hawapaswi kushirikiana kwa ajili ya maslahi mapana ya nchi?.

kuna kitu kinaitwa 'collective responsibility'
 
Demi au unahisi maafisa huko maofisini kwao wataacha kujilipa posho haha..
 
Umemalzia na kiitikio kizuri sana Ila sahauni ...
 
Acha uongo vijijini ndiyo wameshajisajiri mapema sana labda kijijini kwenu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…