Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

Kama umesajili line yako na bado unasubiri taarifa confirmation au bado hujasajili naona baadhi yetu tumeanza kuonja joto la kuzimiwa mtandao.

Si mimi hata jamaa yangu hapo Dar hapatikani, nimetumia njia mbadala kwa kupitia jamaa wa ofisini kwake ndipo akaniambia yupo ofisini.

Sijaelewa kama ndiyo wamefanya yao au wanatest mitambo, mdau huko ulipo vipi upo hewani?

Hivi TCRA wanazima leo Saa 6 Kamili Usiku kama ambavyo wamekuwa wakisema na hata Kusisitiza mara kwa mara katika Matangazo yao au wanazima muda wa Saa 1 na dakika 14 Asubuhi ya leo ambako ndiko umekurupuka na kuja na hili Bandiko lako? Madhara ya Kulala na Pombe na Kuamka nazo ndiyo haya sasa!
 
Kama umesajili line yako na bado unasubiri taarifa confirmation au bado hujasajili naona baadhi yetu tumeanza kuonja joto la kuzimiwa mtandao.

Si mimi hata jamaa yangu hapo Dar hapatikani, nimetumia njia mbadala kwa kupitia jamaa wa ofisini kwake ndipo akaniambia yupo ofisini.

Sijaelewa kama ndiyo wamefanya yao au wanatest mitambo, mdau huko ulipo vipi upo hewani?
Mtoto wa kike acha umbea na unafki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kusifia kitu ambacho ukitulia vyema ukatafakari ....
Toka 2017 unapigania NIN....Kuna haja ya kuchunguzwa mifumo yetu ya fahamu.
 
Hivi TCRA wanazima leo Saa 6 Kamili Usiku kama ambavyo wamekuwa wakisema na hata Kusisitiza mara kwa mara katika Matangazo yao au wanazima muda wa Saa 1 na dakika 14 Asubuhi ya leo ambako ndiko umekurupuka na kuja na hili Bandiko lako? Madhara ya Kulala na Pombe na Kuamka nazo ndiyo haya sasa!
Kwani tarehe 21 imefika?
Si walisema mwisho ni tarehe 20/1/2020, ina maana leo bado hawajasitisha/funga mawasiliano. Ikifika saa 5.dk 59.sek 59 usiku leo, basi watafunaga kama ni kweli watafanya hivyo.

Kama kwako wamekata, basi wewe uko mbele kwa siku nzima.
Umeambiwa muda ni mpaka tarehe 20/jan/2020 saa 23;00 pm ndio mwisho sasa wewe mapema yote hii umejilipua mwana hebu tuliza mzuka huo. subiri muda ulio semwa ufike ndo uanze kuchokonoa watu wako ukiona hawapatikani ujue ndio kumekucha. hapo unaweza kuanza kulialia
Huo ni woga wako ase! Au labda unaye mpigia kazima sim hapatkan we na mawenge yako moja kwamoja kufungua Uzi, uwaga mnakera sana nyie
Great Thinkers mnakwama wapi, mmeshindwa kuelewa nilichoandika au ndiyo tuseme jf elimu ya kuelewa inatupa shida?
Pale mwisho nimeandika hiyo 👇


Sijaelewa kama ndiyo wamefanya yao au wanatest mitambo, mdau huko ulipo vipi upo hewani?
Sasa Badala ya kufafanua mnatupa madongo na kauli tata 😂 sijaelewa wadau, maana mimi sipo hewani huku.
 
Ni kweli Walitest mitambo jamani
Screenshot_20200120-121052_Call%20Management.jpeg
 
Nilikuwa sina mpango wa kusajili line yangu ya simu ingawa sina sababu ya msingi kabisa NIDA ninayo ile ya mwanzo kabisa ya yule aliyeshitakiwa basi tuu sikuwa nataka usumbufu ila nadhani sasa naweza sajili
kwa sasa nida ni kila kitu, TIN, passport, Brela nk
 
Great Thinkers mnakwama wapi, mmeshindwa kuelewa nilichoandika au ndiyo tuseme jf elimu ya kuelewa inatupa shida?
Pale mwisho nimeandika hiyo 👇


Sasa Badala ya kufafanua mnatupa madongo na kauli tata 😂 sijaelewa wadau, maana mimi sipo hewani huku.
weka salio uongee acha longolongo
 
Back
Top Bottom