katoto22october
JF-Expert Member
- May 9, 2019
- 284
- 263
Hata voda wanakubali pia....Ndio. Ni Voda tu ndio hawakubali, wengine inakubali bila shida.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata voda wanakubali pia....Ndio. Ni Voda tu ndio hawakubali, wengine inakubali bila shida.
Swala hili lina ukweli kiasi gani ndugu???Msiwe na hofu hawana mpango wa kuzima maana waziri nditiye baada ya kwenda kigoma juzi amebadilisha mawazo maana kumbe tatizo haliko kwa wananchi bali kwao serikali
Kama umesajili line yako na bado unasubiri taarifa confirmation au bado hujasajili naona baadhi yetu tumeanza kuonja joto la kuzimiwa mtandao.
Si mimi hata jamaa yangu hapo Dar hapatikani, nimetumia njia mbadala kwa kupitia jamaa wa ofisini kwake ndipo akaniambia yupo ofisini.
Sijaelewa kama ndiyo wamefanya yao au wanatest mitambo, mdau huko ulipo vipi upo hewani?
Unaelewa maana ya KABLA ya tarehe 20?Leo ni 20 au?
Mtoto wa kike acha umbea na unafkiKama umesajili line yako na bado unasubiri taarifa confirmation au bado hujasajili naona baadhi yetu tumeanza kuonja joto la kuzimiwa mtandao.
Si mimi hata jamaa yangu hapo Dar hapatikani, nimetumia njia mbadala kwa kupitia jamaa wa ofisini kwake ndipo akaniambia yupo ofisini.
Sijaelewa kama ndiyo wamefanya yao au wanatest mitambo, mdau huko ulipo vipi upo hewani?
Msajilie mke wako lakini.... chochote kitakachohusiana na hiyo laini ya mkeo. Wewe ndio mtuhumiwa..Wanakubari mi binafsi nmemsajilia wife. Ila ukimsajilia mtu taarifa zake za usajili wa mwanzo zinafutika unasomeka usajili mpya
Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly.. ya baade hawayajui.Ila nadhani kuna sehemu atafika atakosa baadhi ya huduma
MTC | 101| [emoji769]
Kitambulisho si kina picha mdau.... sasa sura ya aliyepoteza na aliyeokota wanafanana vp?Sasa kama mtu alipoteza kitambulisho chake akakiokota mwingine akaenda kusajilia na aliye poteza akatoa taarifa polisi bado atakuwa responsible?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kutakuja kuwa na shida.... unatumia laini ambayo sio yako ndio tafsiri rahisi.Unasajili kama yako then inampa mtu ambaye ni wa karihu kama mkeo au kaka. Na unakuwa wewe ndio mmiliki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes. Litasoma jina lako.
Kwa hiyo utakua resposible kwa hiyo laini.
Ndio maana kama unakubali kumsajilia mtu ni bora awe ndugu kwa usalama zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo basi,walitest hili limekuwa gari bovu.
Mtoto wa kike acha umbea na unafki
Mawenge kinyama anayoHuo ni woga wako ase! Au labda unaye mpigia kazima sim hapatkan we na mawenge yako moja kwamoja kufungua Uzi, uwaga mnakera sana nyie
Hivi TCRA wanazima leo Saa 6 Kamili Usiku kama ambavyo wamekuwa wakisema na hata Kusisitiza mara kwa mara katika Matangazo yao au wanazima muda wa Saa 1 na dakika 14 Asubuhi ya leo ambako ndiko umekurupuka na kuja na hili Bandiko lako? Madhara ya Kulala na Pombe na Kuamka nazo ndiyo haya sasa!
Kwani tarehe 21 imefika?
Si walisema mwisho ni tarehe 20/1/2020, ina maana leo bado hawajasitisha/funga mawasiliano. Ikifika saa 5.dk 59.sek 59 usiku leo, basi watafunaga kama ni kweli watafanya hivyo.
Kama kwako wamekata, basi wewe uko mbele kwa siku nzima.
Umeambiwa muda ni mpaka tarehe 20/jan/2020 saa 23;00 pm ndio mwisho sasa wewe mapema yote hii umejilipua mwana hebu tuliza mzuka huo. subiri muda ulio semwa ufike ndo uanze kuchokonoa watu wako ukiona hawapatikani ujue ndio kumekucha. hapo unaweza kuanza kulialia
Great Thinkers mnakwama wapi, mmeshindwa kuelewa nilichoandika au ndiyo tuseme jf elimu ya kuelewa inatupa shida?Huo ni woga wako ase! Au labda unaye mpigia kazima sim hapatkan we na mawenge yako moja kwamoja kufungua Uzi, uwaga mnakera sana nyie
Sasa Badala ya kufafanua mnatupa madongo na kauli tata 😂 sijaelewa wadau, maana mimi sipo hewani huku.Sijaelewa kama ndiyo wamefanya yao au wanatest mitambo, mdau huko ulipo vipi upo hewani?
kwa sasa nida ni kila kitu, TIN, passport, Brela nkNilikuwa sina mpango wa kusajili line yangu ya simu ingawa sina sababu ya msingi kabisa NIDA ninayo ile ya mwanzo kabisa ya yule aliyeshitakiwa basi tuu sikuwa nataka usumbufu ila nadhani sasa naweza sajili
weka salio uongee acha longolongoGreat Thinkers mnakwama wapi, mmeshindwa kuelewa nilichoandika au ndiyo tuseme jf elimu ya kuelewa inatupa shida?
Pale mwisho nimeandika hiyo 👇
Sasa Badala ya kufafanua mnatupa madongo na kauli tata 😂 sijaelewa wadau, maana mimi sipo hewani huku.