Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

Mapato ya kutokana na matumizi ya simu ni zaidi ya tunavyofikiri...everybody (watu walau kuanzia miaka 15) has a gadget and its transacting

Nlisoma sehemu kando ya Sekta ya Madini
Telecom Industry inafuatia kwa mapato nchini

Mfano mdogo tu kila vocha kuna VAT
Hawawezi kuzima
 
Habari: Mhadhiri Mstaafu wa Chuo Kikuu Cha Sokoine Dkt. Silvery Ishuza ameshauri serikali kusitisha zoezi la kufunga namba za Simu ambazo hazijasajiliwa kwa kutumia alama za vidole ili kuepusha mdororo wa uchumi unaoweza kujitokeza.

View attachment 1328621

MIMI PIA NAUNGA MKONO KAULI HII YA PROFESSOR.

Source: ITV

Sent from my iPhone using JamiiForums
Yani kesho wakizima ntaamini hatuna Viongozi
 
Kivumishi Kielezi, laini zitazimwa na maisha yataendelea kama kawaida, haitakuwa mwisho wa maisha. naamini tutachangamka tu na tutasajili tu.
awana zinaenda Nida lakini wengi tusio na namba za NIDA tulipuuzia kufuatilia kwasabu ya ule mlolongo wake. kwaio sahiz ndo tupo hati hati tunataka vitambulisho.

NIDA hawawezi kutoa kwa haraka kwasababu watu ni wengi
 
More 10 days😁😁😁😁tetesi
Key issue naona sio usajili wa line
Key issue ni NIDA navoona
Ila NIDA imempa kila mwananchi stahiki kitambulisho kweli?.

japo kwa kiasi flani wamefanikiwa kupush volume na hii pressure
 
laini zitazimwa na maisha yataendelea kama kawaida, haitakuwa mwisho wa maisha. naamini tutachangamka tu na tutasajili tu.
lawana zinaenda Nida lakini wengi tusio na namba za NIDA tulipuuzia kufuatilia kwasabu ya ule mlolongo wake. kwaio sahiz ndo tupo hati hati tunataka vitambulisho. NIDA hawawezi kutoa kwa haraka kwasabu watu ni wengi
Hio loss of revenue ambayo washaiweka kwenye 'budget' watafidia vipi?.

kampuni za simu zitakubali kupoteza mapato?..
Wakizima wajiandae

Kila kitu kina faida na hasara
 
Watu watasajili tu na utashangaa kila mtu soon atakuwa na laini iliyosajiliwa. Hata mfumo wa analojia watu walipinga sana kuwa watu hawana uwezo wa kununua vingamuzi mara sijui nini lkn mfumo ulizimwa na hadi leo maisha yanaendelea. Mabadiliko ni threats kwa watu wengi lkn baada ya muda mchache wanazoea na maisha yataendelea kama kawa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unaongelea Vitu viwili tofauti, Kingamuzi kilikua hakina Maana, Tofauti na Laini Ya Simu


Huu Ujinga uwa Mnanunua Duka gani? Kwa kua Wewe umeshapata Namba unaona sawa tu watu Kuzimiwa?
 
Hili nimeliona kwenye suala zima la NIDA. Baadhi tumetimiza/wametimiza wajibu wao kujaza taarifa zote ili wapate vitambulisho au namba lakini kwa sababu za Serikali hawajapata namba ili kusajili line zao.

Basi wale waliofanikiwa hawawafikilii kabisa ndugu zao ambao bado na ndugu zao walioko vijijini. Vijembe na kejeli ndo nyingi badala ya kuungana na kuieleza serikali kuwa iangalie uamuzi wake kwa kina.

Ndugu zangu acheni unafiki. Msidhani kila mara na kila occasion mtakuwa wa kwanza kufanikiwa nyinyi tu. Tusaidiane.
 
Hili nimeliona kwenye suala zima la NIDA. Baadhi tumetimiza/wametimiza wajibu wao kujaza taarifa zote ili wapate vitambulisho au namba lakini kwa sababu za Serikali hawajapata namba ili kusajili line zao.

Basi wale waliofanikiwa hawawafikilii kabisa ndugu zao ambao bado na ndugu zao walioko vijijini. Vijembe na kejeli ndo nyingi badala ya kuungana na kuieleza serikali kuwa iangalie uamuzi wake kwa kina.

Ndugu zangu acheni unafiki. Msidhani kila mara na kila occasion mtakuwa wa kwanza kufanikiwa nyinyi tu. Tusaidiane.
Ss Mkuu ukiwafikiria wa Kijijini utaweza kuwasajili?.
 
Back
Top Bottom