Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

Umejuaje? Ninachojua hawana uwezo huo. Nawashangaa watu wanaoenda kupoteza muda wao kusimama kwenye misururu mirefu eti kutafuta namba ya nida ili kusajili line za simu! Sipangi mstari na nitawasiliana nipendavyo, na nitaenda kusajili nikiwa na muda.
Hivi la simu fake liliishia wapi ? Ni kweli hawawezi zima kwa mara moja. Nadhani itakuwa chache chache.
 
Naomba kutofautiana na wewe kwenye hili... Wananchi walijitokeza kwa wingi sana 2013.. Foleni zilikuwa ndefu mno watu wakaacha kazi.. Mimi nakumbuka nilienda mara 3 pale Riverside ubungo, kila nikifika watu walishafika tangu alfajiri.. Hatimaye nikafanikiwa kujiandikisha siku ya nne
Mpaka kufika 2014 nikawa bado sijapata kitambulisho
Siku moja nikaenda bank pale mlimani city nikakuta tangazo la kusajili tena kupitia bank.. Nilafanya hivyo kwa mara ya pili nikaambiwa nisubiri nitapata ujumbe wa NIDA.. Ikawa holla mpaka nilipoenda kujisajili tena 2019 ambapo ilinichukua miezi sita kupata number na si kilambusho kwa maana ya hard copy na mpaka leo bado
Je ni wangapi wamehangaika na kuhangaishwa kama mimi? Hiyo 2018 unayosemea wewe watu walikuwa wamekwisha kata tamaa... Hivyo kuwalaumu pekee bila serikali si sahihi

Jr[emoji769]
Dah pole sana mkuu. me nakumbuka nilijiandika tar 31/12/2017 nikakaa week 2 tu nikaenda kufata hard copy yangu nikaipata. Nadhani hicho kipindi watu wengi walikuwa wameshakata tamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa wamefunga message inaingia kivipi?

Nahisi kutakuwa kuna flag inawekwa kwa namba ambayo inayo na isiyo na usajili...

Kwa ambayo haina usajili hiyo flag ikiwa activated ina trigger SMS center itume huo ujumbe kabla ya kuwa barred...

Kwa hiyo mtiririko utakuwa activate XXX flag >>trigger SMSC to send SMS >> deactivate from system (barr)
 
TCRA imeeleza kuwa haitazima line zote ambazo hazijasajiliwa kwa wakati mmoja, bali wataanza kuzima taratibu.

Watawazimia wale wenye vitambulisho na namba za NIDA ila hawajasajili, sababu hawa hawana sababu za kutowafanya wasisajili.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani line ikizimwa inakuwaje?
Nimesubiri sana nione line zinavyozima lakini naona hazizimi au zimeanzia Kigoma?

Walisema Watanzania wasio na usajili wa simuWatakatiwa mawasiliano leo

Ofisa Mwandamizi Mkuu wa TCRA, Semu Mwakyanjala, anapeleka ujumbe kwa Watanzania ambao wanamiliki laini za simu zinazofikia jumla ya milioni 21.4 ambazo hazijasajiliwa kwa alama za vidole na zitazimwa leo, wawe na uhakika kuwa fedha zao zitakazokuwa kwenye laini hizo, zitakuwa salama kwa muda wa miezi mitatu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kutofautiana na wewe kwenye hili... Wananchi walijitokeza kwa wingi sana 2013.. Foleni zilikuwa ndefu mno watu wakaacha kazi.. Mimi nakumbuka nilienda mara 3 pale Riverside ubungo, kila nikifika watu walishafika tangu alfajiri.. Hatimaye nikafanikiwa kujiandikisha siku ya nne
Mpaka kufika 2014 nikawa bado sijapata kitambulisho
Siku moja nikaenda bank pale mlimani city nikakuta tangazo la kusajili tena kupitia bank.. Nilafanya hivyo kwa mara ya pili nikaambiwa nisubiri nitapata ujumbe wa NIDA.. Ikawa holla mpaka nilipoenda kujisajili tena 2019 ambapo ilinichukua miezi sita kupata number na si kilambusho kwa maana ya hard copy na mpaka leo bado
Je ni wangapi wamehangaika na kuhangaishwa kama mimi? Hiyo 2018 unayosemea wewe watu walikuwa wamekwisha kata tamaa... Hivyo kuwalaumu pekee bila serikali si sahihi

Jr[emoji769]
Kwahiyo kutoka 2014-2019 ulikosa ila wengine walipata mfano mimi nilichelewa sikujiandikisha mapema ila nilikomaa mpaka nikapata kitambulisho tukubali tu tulizembea sana japo kwa sasa tunajisahau mno na kuona serikali haiwezi kufanya chochote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Suala la NIDA. inawezekanaje mtu analala akiwa hajui hatma ya mawasiliano yake? Yaani watu wanakesha kama wanasubiri mwaka mpya. Hawajui kama watafungiwa au la!!

Hii inatisha sana kwa mustakabali wa taifa. Wakati wa kuandikisha wapiga kura na kutoa vitambulisho vya kupigia kura mnafika hadi kwenye kata. iweje hivi vya NIDA serikali ishindwe?

Kuna ulazima gani wa kufanya sasa kwamba lazima kila mtu ajisajili kwa kitambulisho cha NIDA ili hali mkijua hali halisi ilivyo!! Na sheria kandamizi eti ukimsajilia mtu naenda jela?

Ndugu zetu, wazazi wetu huko vijijini tutawasiliana nao vipi na tukiwasajilia huku mnatufunga?

IFIKIE HATUA WATANZANIA TUWE NA HATMA YA MAISHA YETU MIKONONI MWETU. HIKI KIKUNDI CHA WALIOSHIBA MADARAKA KITALIANGAMIZA TAIFA

Sent from my iPhone using JamiiForums
Usalama wa watanzania ni wao waamue wenyewe hatima yao, yaani yaanzishwe maandamano taifa zima hadi vijijini ili kumtoa huyu Dikteta mshamba na katili na CCM yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina line 2. Moja nimesajili kwa kitambulisho cha jamaa (ili nijihadhari na kutokuwepo kwenye mawasiliano)... Nyingine (ya kwangu ya siku zote) sijasajili. Hii ya kwangu ikifungiwa haina shida coz watu wangu hawatonikosa hewani kwa hii nyingine na JF nitaendelea kuenjoy 😀 😀 😀

HIVI NDIVYO NILIVYOJIANDAA KISAIKOLOJIA.
Hii offer na mimi nimeipata but nime-doubt kitu kimoja,ikitokea nimepoteza line kisha nikahitaji kuirudisha kama huyu aliyenisajilia hajawa karibu bado mitihani itakuwa ile ile tu cos hatutegemei kama binadam kuwa karibu muda wote kuna kuhama eneo,kifo nk so nilichoamua acha wafunge line {ninazo tatu} nitarudi zama za mawe kwa muda halafu kama kufuatilia nitaanza pale NIDA foleni itakapoisha pia watakapoboresha huduma zao.

Siyo jambo jepesi mtu kufunga shughuli zako kwa muda zaidi ya siku tatu kwenda kupanga foleni usiyotegemea kupata unachokitegemea na hii nimeapa sitafanya na kama kufunga acha wafunge.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Nlikuwa namtetea sana Makonda ila kwa upumbavu wake alioongea jana nmemdharau sana!

Jamaa ni kama hajatoka kijijini vile yani. Maneno kama yale ilitakiwa waongee kina Rizi one watoto wa mjini wasiojua shida za watu huko mashambani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee! mmeanza kupona magonjwa yenu ya akili mmoja mmoja hadi mtapona wote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.
tapatalk_1579585608648.jpeg


Jr[emoji769]
 
Nyie mnao sema TCRA hawawezi kuzima line za simu lazima mtakuwa mmesha sajili msituchongee sisi tafadhali, hivi mna mchokoza nani?????.

Kweli wabongo NYOSO.

TCRA mnaweza kuzima simuzetu wakuu achaneni na hawa wahuni please,please please.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom