Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ujumbe utafika na picha zitapigwa, nyie UWT huwa hampigi picha?Kwahiyo mnaandamana Ili mpige Picha?
Bure kabisa we Bawacha 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujumbe utafika na picha zitapigwa, nyie UWT huwa hampigi picha?Kwahiyo mnaandamana Ili mpige Picha?
Bure kabisa we Bawacha 😂
Kwani alikuwa anaandamana?Kama hakuna waandamanaji, kwa nini mlimuua Akwilina? (RIP)
Kwa nini Mbowe alikimbilia huko na kujificha?Kwani alikuwa anaandamana?
Mbowe alikimbilia Ofisi ya CCM kinondoni mkwajuni kujificha 😄
Wewe unachachusha Mbege hapo Rau Madukani lakini uko kimbele front utadhani uko Dar 😂😂Ujumbe utafika na picha zitapigwa, nyie UWT huwa hampigi picha?
Mkuu achana na mtandao tuingie roadKwa nini Mbowe alikimbilia huko na kujificha?
Kwa sababu muhalifu huwaogopa Polisi Wakati wote!Kwa nini Mbowe alikimbilia huko na kujificha?
Tumpe nafasi ndugu johnthebaptist aelimike kidogo😀Mkuu achana na mtandao tuingie road
Yuko machame Huyo MsaniiMkuu achana na mtandao tuingie road
Acha ujinga, sahivi nipo hapo Mbezi magari 7 naelekea Mbezi mwisho tena kwa mguu ndiyo maana nachatWewe unachachusha Mbege hapo Rau Madukani lakini uko kimbele front utadhani uko Dar 😂😂
Asante mkuu naimani tutamaliza salama maandamano yetu ni ya amani kabisaVijn wenzetu wa Dar Tuwakilishen vyema , msituangushe
Huku achana nako tuliomba kibali tuandamane tushapewq twende kazi sasa na hali ya hewa nzuri kbsTumpe nafasi ndugu johnthebaptist aelimike kidogo😀
Kafanya uhalifu gani?Kwa sababu muhalifu huwaogopa Polisi Wakati wote!
Dar hakunaga Waandamanaji labda ingekuwa MbeyaVijn wenzetu wa Dar Tuwakilishen vyema , msituangushe
Tutumie picha za maandamano mkuu.Huku achana nako tuliomba kibali tuandamane tushapewq twende kazi sasa na hali ya hewa nzuri kbs
Machame wapi yuko Kigamboni changanyikeni ni ccm huyo anawachachafya tuYuko machame Huyo Msanii
Hatuweki picha mpk mchana..ili mje na nyinyiTutumie picha za maandamano mkuu.
Wengi tupo njiani
Risasi ilitokea Kule Kule alikokuwepo kabla hajaanza kukimbia 🐼Kafanya uhalifu gani?
Kwa hiyo polisi baada ya kumkosa kwa risasi ndo wakamuua Akwilina?