Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Poa kamanda tupo njiani na makamanda tunakuja.Hatuweki picha mpk mchana..ili mje na nyinyi
Mtupe update mlipo sasa ili tushuke jirani ama tuwssubirie mbele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa kamanda tupo njiani na makamanda tunakuja.Hatuweki picha mpk mchana..ili mje na nyinyi
Risasi ilitoka kwenye mtutu wa polisi. Ina maana moja kubwa kwamba, mlipanga kumuua Mbowe kwa cross range ikamkosa ikaenda kumuua binti kwenye basiRisasi ilitokea Kule Kule alikokuwepo kabla hajaanza kukimbia 🐼
Ulikuwepo?🐼Risasi ilitoka kwenye mtutu wa polisi. Ina maana moja kubwa kwamba, mlipanga kumuua Mbowe kwa cross range ikamkosa ikaenda kumuua binti kwenye basi
Tumekusikia, haya nenda kafanye mazoezi ya kutembeaSiku uliyoshinda hospital kuhangahikia kusafishwa figo uliingiza sh. Ngapi?
Ukichaa huo mwisho utasema musilale maana hamtaingiza chochote.
Si lazima uingize pesa kila siku, pia tambua si kila mtu ni fukara kama wewe kwamba usipopanga viatu vya mtumba barabarani huli.
Watu tuna biashara zetu ambazo tumeajiri watu wafanye kazi.
Kwa hiyo wewe unaandana ukiwa xNi udikteta au kutokujiamini!?, mtandao wa X asubuhi hii upo chini!
Vipi wewe, kwako X inafunguka?
HahahahaPoa kamanda tupo njiani na makamanda tunakuja.
Mtupe update mlipo sasa ili tushuke jirani ama tuwssubirie mbele
Relax kijanaMsilete taharuki, hakuna kitakachotokea, mtaacha shughuli zenu za kuwaingizia kipato na kwenda kufanya hayo mazoezi ya kutembea na mtarudi majumbani mwenu mkiwa mmechoka.. siku itaisha bila kuingiza hata sumni mfukoni...
Mbona siku zote hamna tunachoingiza?Msilete taharuki, hakuna kitakachotokea, mtaacha shughuli zenu za kuwaingizia kipato na kwenda kufanya hayo mazoezi ya kutembea na mtarudi majumbani mwenu mkiwa mmechoka.. siku itaisha bila kuingiza hata sumni mfukoni...
Je wewe?Ulikuwepo?🐼
hivi mtu anaweza kupewa blue tick bila kulipia kwa sasa ? nimekuta account yangu ina blue tickNi udikteta au kutokujiamini!?, mtandao wa X asubuhi hii upo chini!
Vipi wewe, kwako X inafunguka?