Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Kuna kila dalili kwamba maandamano yatafanyika, lakini ni kwa ukubwa gani ni ngumu kutabiri. Kwa wiki nzima hii, kamata kamata imekuwa kubwa sana, hadi vibaka na wezi wameamua kuchukua likizo ya muda.
Tumeshuhudia pia maandalizi makubwa ya polisi wa kutuliza ghasia, polisi wa sare, na wanashughuli wa usalama wakiwa kwenye magari na kila aina ya kifaa na nyenzo za kupambana na yeyote yule.
Hata hivyo, kuna maandalizi mengine ambayo sijui kama yamefanyika.
1. Njia za Kidiplomasia.
2. Magari ya Wagonjwa
3. Vifaa Tiba vya Dharura
4. Wahudumu wa Afya wa Dharura
5. Hospitali za Dharura
6. Mahabusu
Kuwa maandamano ni haki ya kikatiba kwa sheria zetu na za kimataifa. Ni vyema na hayo maandalizi mengine yakapewa kipaumbele pia!
View: https://x.com/LuhagaMpina/status/1837763737027019154?t=jsxIa8hgQXbeOlTYGmfpcA&s=19
Tumeshuhudia pia maandalizi makubwa ya polisi wa kutuliza ghasia, polisi wa sare, na wanashughuli wa usalama wakiwa kwenye magari na kila aina ya kifaa na nyenzo za kupambana na yeyote yule.
Hata hivyo, kuna maandalizi mengine ambayo sijui kama yamefanyika.
1. Njia za Kidiplomasia.
2. Magari ya Wagonjwa
3. Vifaa Tiba vya Dharura
4. Wahudumu wa Afya wa Dharura
5. Hospitali za Dharura
6. Mahabusu
Kuwa maandamano ni haki ya kikatiba kwa sheria zetu na za kimataifa. Ni vyema na hayo maandalizi mengine yakapewa kipaumbele pia!
View: https://x.com/LuhagaMpina/status/1837763737027019154?t=jsxIa8hgQXbeOlTYGmfpcA&s=19