Kuelekea Maandamano ya Maombolezo Septemba 23: Je, Mamlaka Zimejiandaa?

Kuelekea Maandamano ya Maombolezo Septemba 23: Je, Mamlaka Zimejiandaa?

Kuna kila dalili kwamba maandamano yatafanyika, lakini ni kwa ukubwa gani ni ngumu kutabiri. Kwa wiki nzima hii, kamata kamata imekuwa kubwa sana, hadi vibaka na wezi wameamua kuchukua likizo ya muda.

Tumeshuhudia pia maandalizi makubwa ya polisi wa kutuliza ghasia, polisi wa sare, na wanashughuli wa usalama wakiwa kwenye magari na kila aina ya kifaa na nyenzo za kupambana na yeyote yule.

Hata hivyo, kuna maandalizi mengine ambayo sijui kama yamefanyika.

1. Njia za Kidiplomasia.
2. Magari ya Wagonjwa
3. Vifaa Tiba vya Dharura
4. Wahudumu wa Afya wa Dharura
5. Hospitali za Dharura
6. Mahabusu

Kuwa maandamano ni haki ya kikatiba kwa sheria zetu na za kimataifa. Ni vyema na hayo maandalizi mengine yakapewa kipaumbele pia!


View: https://x.com/LuhagaMpina/status/1837763737027019154?t=jsxIa8hgQXbeOlTYGmfpcA&s=19

Kumbe!
 
Kuna kila dalili kwamba maandamano yatafanyika, lakini ni kwa ukubwa gani ni ngumu kutabiri. Kwa wiki nzima hii, kamata kamata imekuwa kubwa sana, hadi vibaka na wezi wameamua kuchukua likizo ya muda.

Tumeshuhudia pia maandalizi makubwa ya polisi wa kutuliza ghasia, polisi wa sare, na wanashughuli wa usalama wakiwa kwenye magari na kila aina ya kifaa na nyenzo za kupambana na yeyote yule.

Hata hivyo, kuna maandalizi mengine ambayo sijui kama yamefanyika.

1. Njia za Kidiplomasia.
2. Magari ya Wagonjwa
3. Vifaa Tiba vya Dharura
4. Wahudumu wa Afya wa Dharura
5. Hospitali za Dharura
6. Mahabusu

Kuwa maandamano ni haki ya kikatiba kwa sheria zetu na za kimataifa. Ni vyema na hayo maandalizi mengine yakapewa kipaumbele pia!


View: https://x.com/LuhagaMpina/status/1837763737027019154?t=jsxIa8hgQXbeOlTYGmfpcA&s=19

Good thinking 🤔
 
Kuna kila dalili kwamba maandamano yatafanyika, lakini ni kwa ukubwa gani ni ngumu kutabiri. Kwa wiki nzima hii, kamata kamata imekuwa kubwa sana, hadi vibaka na wezi wameamua kuchukua likizo ya muda.

Tumeshuhudia pia maandalizi makubwa ya polisi wa kutuliza ghasia, polisi wa sare, na wanashughuli wa usalama wakiwa kwenye magari na kila aina ya kifaa na nyenzo za kupambana na yeyote yule.

Hata hivyo, kuna maandalizi mengine ambayo sijui kama yamefanyika.

1. Njia za Kidiplomasia.
2. Magari ya Wagonjwa
3. Vifaa Tiba vya Dharura
4. Wahudumu wa Afya wa Dharura
5. Hospitali za Dharura
6. Mahabusu

Kuwa maandamano ni haki ya kikatiba kwa sheria zetu na za kimataifa. Ni vyema na hayo maandalizi mengine yakapewa kipaumbele pia!


View: https://x.com/LuhagaMpina/status/1837763737027019154?t=jsxIa8hgQXbeOlTYGmfpcA&s=19

Watu mshaweka here we go. Mtuwakilishe
 
Njee ya mada naomba kujua ni ofisi za nini zile zilizo opposite na makumbusho stand zme pakana na kijiji cha makumbusho naonaga jamaa wamevaa nguo kama vitenge
 

IMG-20240923-WA0050.jpg
 
Back
Top Bottom