JOSEPHAT J BAZA
Member
- May 4, 2013
- 27
- 22
Watanzania, siku chache kuelekea matokeo ya kidato cha sita siri nzito imefichuka. Ziro kibao zafurika, Serikali Y CCM kwa mara nyingine yaanza mchakato wa kuzichakachua kimyakimya.
Je, serikali hii inatupeleka wapi? ama kweli elimu ya TZ imegeuka kuwa genge la wanasiasa. Hakika CHADEMA NDIYO SULUHISHO LA ELIMU TANZANIA 2015
Je, serikali hii inatupeleka wapi? ama kweli elimu ya TZ imegeuka kuwa genge la wanasiasa. Hakika CHADEMA NDIYO SULUHISHO LA ELIMU TANZANIA 2015