Kuelekea mechi ya CAFCL, Kocha: Tunaanza kesho kupambana tunajua Nchi na Simba nini wanataka

Tunakwenda na Mgunda .... #nguvumoja
Kabisa hatuna namna.. Kocha Zaron Maki ameondoka ghafla na Klabu wangefanya nini kwa siku hizi mbili.

Hata angekuja Pitso Mosimane angeishia kukaa Jukwaani tu..[emoji881] Nguvu Moja
 
Huyu jamaa alivyo kama professor @isee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…