Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 3,012
- 4,300
Jumapili ndani ya dimba la Mkapa inaenda kuwekwa historia ya fainali ya kwanza ya mchezo wa CAF kwa ngazi ya vilabu. Ni fainali ya CAF confederation cup, tukumbuke tu kuwa mara ya mwisho Yanga kupoteza mechi katika michuano hii ilikuwa ni rarehe 12 mwezi wa 2 mwaka 2023 dhidi ya Monastir.
Baada ya hapo Yanga hakuwahi kufungwa tena katika hii michuano, kacheza michezo 9
Vs Bamako (H &A)
Vs Tp Mazembe (H &A)
Vs Monastir (H)
Vs Rivers (H & A)
Vs Marumo (H &A)
Katika michezo hiyo 9 Yanga imeshinda michezo 7 na kutoa sare michezo 2 pekee ( nyumbani sare 1 na ugenini sare 1).
Yanga mpaka sasa ni unbeaten kwa miezi mitatu hadi sasa kwa mechi 9.
Ni timu ambayo imeenda kuvunja mbio za record za timu zingine ambazo ni Marumo, na Rivers ambao wote hao walikuwa wanajivunia record nzuri za kupata matokeo chanya kwenye viwanja vyao, lakini Yanga ndio imeenda kutibua record zao.
Je, USM Alger atauweza kuula mfupa mgumu ulioshindikana hadi sasa? Ngoja tuone kipi kitatokea katika dakika 180.
Baada ya hapo Yanga hakuwahi kufungwa tena katika hii michuano, kacheza michezo 9
Vs Bamako (H &A)
Vs Tp Mazembe (H &A)
Vs Monastir (H)
Vs Rivers (H & A)
Vs Marumo (H &A)
Katika michezo hiyo 9 Yanga imeshinda michezo 7 na kutoa sare michezo 2 pekee ( nyumbani sare 1 na ugenini sare 1).
Yanga mpaka sasa ni unbeaten kwa miezi mitatu hadi sasa kwa mechi 9.
Ni timu ambayo imeenda kuvunja mbio za record za timu zingine ambazo ni Marumo, na Rivers ambao wote hao walikuwa wanajivunia record nzuri za kupata matokeo chanya kwenye viwanja vyao, lakini Yanga ndio imeenda kutibua record zao.
Je, USM Alger atauweza kuula mfupa mgumu ulioshindikana hadi sasa? Ngoja tuone kipi kitatokea katika dakika 180.