Akil za kuambiwa unachanganya na zako, karatasi imefukuliwa uwanjani tuseme hao wafagizi au waangaliz Wa viwanja kazi yao kuchimba chimba uwanjan au kufanya usafi?
Sbb uwezi uona kitu kilichopo chin mpaka uchimbe, na pia uwanjan huwa unamwagiliwa maji kama ndivyo hivyo kweli karatasi itoke mpya hvyo?Hebu acha kulisha watu matango mwitu kaka na jiheshimu kidogo, kama mpira unachezwa kwenye makaratasi hvyo sumbawanga kunakosifika na uchawi wangekuwa na timu hata tatu ligi kuu na nigeria angekuwa mabingwa kombe LA dunia na Africa,
Mpira ni mchezo Wa wazi aliyejiandaa vema na kuwa na Bahati ndio anaibuka mshindi.