Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,319
Duru zinadai kuwa karatasi nyeupe iliyokuwa na maandishi ya Kiarabu imefukuliwa katika eneo la kuchezea (pitch) ya Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Karatasi hiyo iliibuliwa jana asubuhi na watu wanaofanya usafi na huduma zingine katika uwanja huo.
Wadau wamehusisha tukio hilo na pambano la watani wa jadi, Simba na Yanga, ambalo linatarajiwa kupigwa wikiendi hii kwenye Uwanja huo huo.
Chanzo: Kwame Kwax