Naona tumeanza kuhesabuBocco [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
umeiona hii ShadeeyaBocco [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Kama kawaida yetu mdakachoziNaona tumeanza kuhesabu
Noma sana 😁😅😅😅😅😅Hata kikichacha tunakula ivo ivo [emoji16]. Potelea kwa mbali.View attachment 1059261
Woyoooooooooooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] SimbaNguvuMojaKatika vitu ambavyo sasa hivi nina uhakika navyo ni
1. Uwepo wa Mungu
2. Kufariki Dunia
3. Simba Sc Kushinda mechi zote zilizo baki hasa hizi za level ya UMISETA, wenyewe mnaita TPL sijui.
Sina uhakika wa kula usiku wa leo lakini nina uhakika Simba inashinda hii game. Wala sijajisumbua kwenda kuangalia hii mechi
Sent using Jamii Forums mobile app