Kuelekea mechi ya 'TPL' Stand Utd dhidi ya Simba SC, Mnataka Mfungwe Mabao Mangapi?

Haji yeye anawatania Yanga..Lakini Zahera na Plujim wanakubali na wanaona kabisa kuwa Simba SC inawahenyesha wengi katika TPL.. Hiyo ndo tofauti mkuu.
Mkuu, hili mweleze Haji. Hawezi kuongea bila kuitaha Yanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…