severinembena
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 2,435
- 2,402
Wana mikakati mizito sana. Safari hii wamepanga kufika nusu fainali ya CAF CL. Ngoja tuone mana wamesajili kwelikweli. Sisi Yanga tutacheza kesho na Zesco tutawasubiria wao wikiendi ijayo tuone watafanyaje kwenye michuano ya kimataifa ha ha ha haHizi kauli hawazitakagi ujue jirani. Wao wanataka zile za kwamba watachukua Kombe. Teh teh
Exactly mkuu, maisha hayana usawa aisee!Maisha hayawezi kubalance mzani asee, Yanga inajiwinda na Zesco Simba nguvu zote kwa mtibwa
Hahahaaa. πππππAcheni ramli chonganishi bana Shadeeya
Tunalijua hilo Mtani ila bado tupo tupo sana Kimataifa.Watachemka tu mkuu..! Mpaka wanajua Simba ni Next Level
Tumewashika pabaya mwaka huu. Yaani siamini kama mnaeza andika kinyoonge namna hii Ses. πππWanajua sana basi tu wanaleta ukauzu
Hana ubavu huo saa hivi anajifanya muhamasishaji National Team. Teh tehManara anaona hata aibu kuita vikao vya waandishi wa habari... na kuanza mbwembwe zake.... aite waandishi kwa ajili ya mtibwa sasa....
kweli maisha ni kama gwaride. wanayanga tunaiwaza game na zesco .. simba anawaza game na mtibwa
Nimelipenda gauni lako na hiyo rangi yake, rangi imekupendeza sana ShadeeyaπππHahahaaa. πππππ
Simba vs Mtibwa huku Yanga vs Zesco. Daah
Hahahahaaa!!!!!! Walijua kufika nusu fainali ni kama kunywa chai. πππWana mikakati mizito sana. Safari hii wamepanga kufika nusu fainali ya CAF CL. Ngoja tuone mana wamesajili kwelikweli. Sisi Yanga tutacheza kesho na Zesco tutawasubiria wao wikiendi ijayo tuone watafanyaje kwenye michuano ya kimataifa ha ha ha ha
Si tupo wote kwenye ligi ya TPL? Nilikwambia tutawapakata ndani nje msimu huu, si unajua tena mume mumeo tu hata ukiwa na cheo huko kimataifa ukirudi nyumbani lazima upige gotiTumewashika pabaya mwaka huu. Yaani siamini kama mnaeza andika kinyoonge namna hii Ses. πππ
Nasikia mnacheza na AS Mtibwa ya Somali landPatashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara, Vodacom Premier League (VPL), kuendelea kupigwa leo Ijumaa ya September 13, 2019, baada ya kusimama kwa wiki mbili, ambapo Wekundu wa Msimbazi, Simba SC watakapopepetana na Wakata Miwa wa Tuliani, Mtibwa Sugar FC, kunako uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam kuanzia saa 10:00 jioni.
Mnyama Mkali Mwituni, Simba SC, katika safari yake ya kutetea ubingwa wake, amejidhatiti vilivyo kuhakikisha anadondosha kila timu ya VPL, ambayo atakutana nayo ambapo baada JKT, leo hii ni zamu ya Mtibwa Sugar.
Simba SC chini Kocha Patrick Aussems, imejiandaa kuibuka na ushindi kwa kukusanya alama zote tatu pamoja na kuwapa Wanasimba na Wadau wa kandanda burudani ya kiwango bora kabisa ambacho kilichothibitishwa na Shirikisho la Soka Afrika CAF.
Utaendelea kupata dondoo kuelekea mechi ya leo....Usikose Ukaambiwa..!
Next Level Simba SC Nguvu MojaView attachment 1206150View attachment 1206151
Dua lakuku hilo banaaHahahahaaa!!!!!! Walijua kufika nusu fainali ni kama kunywa chai. πππ
Na leo si ajabu kidagaa kikaingia mchanga tena mbele ya Ntibwa.
Msomali lazima atawapambaniaHizi kauli hawazitakagi ujue jirani. Wao wanataka zile za kwamba watachukua Kombe. Teh teh
Sasa Mtaniii si msingevuja tu hilo jasho . πππ Kama mlishajiona mlivuja jasho yawabidi mshukuru tu sasa sababu kama usemavyo maisha hayana usawa na ndio sababu sisi tunazungumzia mechi na Zesco nyie mnazungumzia habari za Mtibwa. Teh tehExactly mkuu, maisha haina hana usawa aisee!
Wengine Klabu Bingwa wamevuja jasho lao huku wengine wakienda kwa kubebwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Manara huko ukikeni amepunguza kelele kidogo baada ya kikosi chake ghali kufa sebuleni kwaoHahahaa. Yupo kajaa tele.
Hiki ndio kilichobakia msimu huu jirani. Hawana kingine Watani zangu labda walete na nyuzi za mechi za kombe la FA. π€£π€£π€£
Nna la njano lake Ses kesho ntakuja nalo twende tukaishangilie timu ya Wananchi kule kwa Mkapa. πππNimelipenda gauni lako na hiyo rangi yake, rangi imekupendeza sana Shadeeyaπππ
TurianiPatashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara, Vodacom Premier League (VPL), kuendelea kupigwa leo Ijumaa ya September 13, 2019, baada ya kusimama kwa wiki mbili, ambapo Wekundu wa Msimbazi, Simba SC watakapopepetana na Wakata Miwa wa Tuliani, Mtibwa Sugar FC, kunako uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam kuanzia saa 10:00 jioni.
Tatizo zile mechi hazijawahi kutabirika Sesten. Usije taka zimia tu kwa kutoamini yatakayotokea.Si tupo wote kwenye ligi ya TPL? Nilikwambia tutawapakata ndani nje msimu huu, si unajua tena mume mumeo tu hata ukiwa na cheo huko kimataifa ukirudi nyumbani lazima upige goti
Mtihani ni pale leo litakapompata mwewe Ses. π€£π€£π€£Dua lakuku hilo banaa